Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niandae kufanya mitihani wiki 2+Wakuu habari za muda,mm ni kijana ambae nilikuwa na ndoto za kuwa daktari tokea muda,maisha nikayaharakia baada ya kumaliza shule nikaoa ndoto zikapotea.
Nikajicjanganya na kazi za ufundi katika sehemu mbalimbali hasa mahotelini kwa muda usiopungua mwaka.
Mwanaka jana nikasema naenda kutimiza ndoto yangu nikahonga honga nikapata chuo private,nimecjaguliwa kusoma clinical medicine ambayo nimefuatilia nimeambiwa nikikomaa na GPA ya 3.5 naweza kusoma MD moja kwa moja.
Sasa je wakuu nijiandae vipi ili nifaulu ?
Maana natishwa naambiwa ni kozi nguvu hasa kwa mm niloishia form four bora ingekuwa japo form six,ikoje hii wakubwa ?
Nijiandae vipi ili kozi isiwe mogumu kwangu mwadau wangu ?
Mzee mzee mkali Saitori umempata wapi huyuNi kozi ngumu haswaa, ikichangizwa ugumu na Saitoli [emoji23][emoji23]
Kama umehonga ili upate nafasi ya kusoma maana yake utahonga tena ili ufaulishwe mtihani mwisho unatoka na GPA nzuri na ukiajiriwa na ukapangiwa huko Tamisemi ambapo wewe ndio kila kitu kituo kinakutegemea kufanya maamuzi ya mwisho UNAISHIA KUUA WAGONJWAUtatuulia wagonjwa wewe badala ya kusoma wewe unahonga ili upate grade nzuri
Ukifika na kuanza masomo, hakikisha unaelewa unachofundishwa, soma kwa bidii.Wakuu habari za muda,mm ni kijana ambae nilikuwa na ndoto za kuwa daktari tokea muda,maisha nikayaharakia baada ya kumaliza shule nikaoa ndoto zikapotea.
Nikajicjanganya na kazi za ufundi katika sehemu mbalimbali hasa mahotelini kwa muda usiopungua mwaka.
Mwanaka jana nikasema naenda kutimiza ndoto yangu nikahonga honga nikapata chuo private,nimecjaguliwa kusoma clinical medicine ambayo nimefuatilia nimeambiwa nikikomaa na GPA ya 3.5 naweza kusoma MD moja kwa moja.
Sasa je wakuu nijiandae vipi ili nifaulu ?
Maana natishwa naambiwa ni kozi nguvu hasa kwa mm niloishia form four bora ingekuwa japo form six,ikoje hii wakubwa ?
Nijiandae vipi ili kozi isiwe mogumu kwangu mwadau wangu ?
Kama una usahaulifu wa kiasi hiki, basi jitathmini unachoenda kusoma, maana ni mwili wa binadamu katika hali yake ya kawaida, na inapokuwa imedhurika, tena ujue imedhurika na nini na nini cha kufanya ili kurudi katika hali yake ya kawaida. Mwili wenyewe una sehemu maelfu.Wapi nimehonga mmm
Usiombe uingie anga zake aisee, sema mwaka huu hajabana sana.Mzee mzee mkali Saitori umempata wapi huyu
Mwamba wa Internal medicine,Anatomy&physiology sema hana utani ukizingua anakula kichwa chapu.
All the best usiogope hakuna kinacho shindikana chini ya jua ajira nje nje usikatishwe tamaa na walimwengu
Wakuu habari za muda,mm ni kijana ambae nilikuwa na ndoto za kuwa daktari tokea muda,maisha nikayaharakia baada ya kumaliza shule nikaoa ndoto zikapotea.
Nikajicjanganya na kazi za ufundi katika sehemu mbalimbali hasa mahotelini kwa muda usiopungua mwaka.
Mwanaka jana nikasema naenda kutimiza ndoto yangu nikahonga honga nikapata chuo private,nimecjaguliwa kusoma clinical medicine ambayo nimefuatilia nimeambiwa nikikomaa na GPA ya 3.5 naweza kusoma MD moja kwa moja.
Sasa je wakuu nijiandae vipi ili nifaulu ?
Maana natishwa naambiwa ni kozi nguvu hasa kwa mm niloishia form four bora ingekuwa japo form six,ikoje hii wakubwa ?
Nijiandae vipi ili kozi isiwe mogumu kwangu mwadau wangu ?
Mkuu credit zangu zinaruhusu kabisa kusoma ila competition ni kubwa sana sio kwamba credit haziniruhusu hapana.Kama una usahaulifu wa kiasi hiki, basi jitathmini unachoenda kusoma, maana ni mwili wa binadamu katika hali yake ya kawaida, na inapokuwa imedhurika, tena ujue imedhurika na nini na nini cha kufanya ili kurudi katika hali yake ya kawaida. Mwili wenyewe una sehemu maelfu.
Kwa kukukumbusha, ulisema katika mchakato wa kuomba nafasi chuoni, ulihonga honga.
Tabia hiyo ni mbaya, kwa kuwa umeshaianza na unaamini imekusaidia kuliko hata kiasi cha ufaulu wako wa kidato cha nne, maana hata hukutaja kuwa wamekuchukua kwa ufaulu husika bali kwa kuhonga honga, kuna uwezekano ukatumia njia ya hongo kununua ufaulu, matokeo yake utakuja kuua binadamu wenzako.
Ni angalizo tu.
Asante sana mkuu,napenda sana kuwa daktari,sasa hv napanga tu nikienda MD nispecialize kwenye nini hapa ndo napanga mana kwa molari nlonayo hapa mazee naiona kabisa G.P.A YA 4.5Nani anakutisha?Mkuu hakuna kisichowezekana katika maisha.Wewe Tayari ni MD unachohitaji ni kukamilisha utaratibu.SOMA kwa Bidii
Same to me.. nmechaguliwa clinical medicine but governmentAsante sana mkuu,napenda sana kuwa daktari,sasa hv napanga tu nikienda MD nispecialize kwenye nini hapa ndo napanga mana kwa molari nlonayo hapa mazee naiona kabisa G.P.A YA 4.5
Mfate inbbMatokeo yako ya form four yako vp, Math;phy;Chem;Bios