Nimechaguliwa kusoma Clinical Medicine, nijiandae vipi wakuu?

Nimechaguliwa kusoma Clinical Medicine, nijiandae vipi wakuu?

Nenda kapambana chochote kinawezekana ukiwa na nia
Asante sana mkuu,napenda sana kuwa daktari,sasa hv napanga tu nikienda MD nispecialize kwenye nini hapa ndo napanga mana kwa molari nlonayo hapa mazee naiona kabisa G.P.A YA 4.5
 
Nimesimamia sana madogo wa Clinical Medicine kwenye paper zao na nimefundisha kdg, kitu ambacho nimekigundua muda wa hiyo shule ni mdogo sana na mambo ni mengi mno, hivyo huwa wanafeli sana kwasababu mitihani inatoka NACTE na wanatunga kweli kweli, na kumbuka paper la NACTE unapiga kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa tatu na mwaka wowote unaweza kukamatwa, ila mwaka hatari zaid ni mwaka wa kwanza hawa huwa wanakamatwa vilivyo kwasababu ya ulimbuken wa kuitwa madaktari wanajikuta wanapoteza muda kupiga picha na kushinda social networks wanakuja kushtuka paper hili hapa na wanaliwa kichwa.

Kifupi mkuu nenda kakaze, hakikisha unaelewa vema modules, na usiwe mvivu kwenda wodin.

Kila la kheri
 
Nimesimamia sana madogo wa Clinical Medicine kwenye paper zao na nimefundisha kdg, kitu ambacho nimekigundua muda wa hiyo shule ni mdogo sana na mambo ni mengi mno, hivyo huwa wanafeli sana kwasababu mitihani inatoka NACTE na wanatunga kweli kweli, na kumbuka paper la NACTE unapiga kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa tatu na mwaka wowote unaweza kukamatwa, ila mwaka hatari zaid ni mwaka wa kwanza hawa huwa wanakamatwa vilivyo kwasababu ya ulimbuken wa kuitwa madaktari wanajikuta wanapoteza muda kupiga picha na kushinda social networks wanakuja kushtuka paper hili hapa na wanaliwa kichwa.

Kifupi mkuu nenda kakaze, hakikisha unaelewa vema modules, na usiwe mvivu kwenda wodin.

Kila la kheri
Fact
 
Wakuu habari za muda,mm ni kijana ambae nilikuwa na ndoto za kuwa daktari tokea muda,maisha nikayaharakia baada ya kumaliza shule nikaoa ndoto zikapotea.

Nikajicjanganya na kazi za ufundi katika sehemu mbalimbali hasa mahotelini kwa muda usiopungua mwaka.

Mwanaka jana nikasema naenda kutimiza ndoto yangu nikahonga honga nikapata chuo private,nimecjaguliwa kusoma clinical medicine ambayo nimefuatilia nimeambiwa nikikomaa na GPA ya 3.5 naweza kusoma MD moja kwa moja.

Sasa je wakuu nijiandae vipi ili nifaulu ?
Maana natishwa naambiwa ni kozi nguvu hasa kwa mm niloishia form four bora ingekuwa japo form six,ikoje hii wakubwa ?

Nijiandae vipi ili kozi isiwe mogumu kwangu mwadau wangu ?
Sio GPA 3.5 tu ili uwe na uhakika zaid wa kusoma MD nilazima uwe na GPA ya kuanzia 4.0....! Sasa ww kalete ubishoo uishie kuwa CO
 
Nenda kapambana chochote kinawezekana ukiwa na nia
Asante sana kwa kunitia moyo mkuu mungu abariki sana kwa sababu nna nia yakuja kuwa daktari bingwa mzuri nina usongo sana kaka nina hakika nitafanya vzur masomo kwa sababu napenda mno
 
Nimesimamia sana madogo wa Clinical Medicine kwenye paper zao na nimefundisha kdg, kitu ambacho nimekigundua muda wa hiyo shule ni mdogo sana na mambo ni mengi mno, hivyo huwa wanafeli sana kwasababu mitihani inatoka NACTE na wanatunga kweli kweli, na kumbuka paper la NACTE unapiga kuanzia mwaka wa kwanza hadi wa tatu na mwaka wowote unaweza kukamatwa, ila mwaka hatari zaid ni mwaka wa kwanza hawa huwa wanakamatwa vilivyo kwasababu ya ulimbuken wa kuitwa madaktari wanajikuta wanapoteza muda kupiga picha na kushinda social networks wanakuja kushtuka paper hili hapa na wanaliwa kichwa.

Kifupi mkuu nenda kakaze, hakikisha unaelewa vema modules, na usiwe mvivu kwenda wodin.

Kila la kheri
Kaka umenipa jambo kwamba first year nikomae hasa nisipuuze kabisa,nfatanya hivyo nitahakikisha napambana naelewa vitu nilivyofundishwa.
Na kahusu wodini haina shida ntakubali hata kufanya kazi bure ili nipate uzoefu kaka,ninachoshukuru nina vibiashara vdg vdogo ambavyo ndo navitumia kujisomesha,lakini mbali na biashara nataka niwe daktari mtaalamu.
Kwa hyo sasa mkuu mbali na modules za chuo je inawezekana kupata maarifa zaidi kuhusu mada fulani mtandaoni ili kukuza uelewa au hutakiwi kusoma nje ya kile unachoelekezwa na waalimu ?
 
Sio GPA 3.5 tu ili uwe na uhakika zaid wa kusoma MD nilazima uwe na GPA ya kuanzia 4.0....! Sasa ww kalete ubishoo uishie kuwa CO
Kaka kwenye daftar langu la malengo yangu ya baadae nimeandika kuwa nataka g.p.a ya 4.5 clinic officer kuna ndugu yangu kaliona hili daftari kacheka saana akaniambia ninafanya masiara kweli na g.p.a hiyo na c.o
Ila nimemuambia kaka mm nitakomaa haswa na sitokubali ipite siku ama iipite module sijasoma na kuelewa,bado ananicheka sana sasa sijui kama haiwezekani au nn
 
Saitori ndo nani mkuu naomba fununu kdg
Dr Saitoli laizer mtu mbadi sana yaani anaroho moja mbaya sana anaweza kuja kusimamia paper wote mkapgwa sup na disco nyingi tu alafu akasepa
 
Kaka kwenye daftar langu la malengo yangu ya baadae nimeandika kuwa nataka g.p.a ya 4.5 clinic officer kuna ndugu yangu kaliona hili daftari kacheka saana akaniambia ninafanya masiara kweli na g.p.a hiyo na c.o
Ila nimemuambia kaka mm nitakomaa haswa na sitokubali ipite siku ama iipite module sijasoma na kuelewa,bado ananicheka sana sasa sijui kama haiwezekani au nn
wewe dogo acha ujinga kuandika lengo kwenye daftari sio ndo kupata hyo GPA wewe kasome uache makundi na ujitaidi kuwa na nidham kwa malecture hapo utaenda poa
 
Kaka kwenye daftar langu la malengo yangu ya baadae nimeandika kuwa nataka g.p.a ya 4.5 clinic officer kuna ndugu yangu kaliona hili daftari kacheka saana akaniambia ninafanya masiara kweli na g.p.a hiyo na c.o
Ila nimemuambia kaka mm nitakomaa haswa na sitokubali ipite siku ama iipite module sijasoma na kuelewa,bado ananicheka sana sasa sijui kama haiwezekani au nn
Mnasemaga tu mkifika chuo mnakuwa vilaza mda wote mnawazaga mademu nakujiona mshakuwa madaktari bingwa acha mbwebwe kijana...shule haitaj kujinad jf
 
Kaka kwenye daftar langu la malengo yangu ya baadae nimeandika kuwa nataka g.p.a ya 4.5 clinic officer kuna ndugu yangu kaliona hili daftari kacheka saana akaniambia ninafanya masiara kweli na g.p.a hiyo na c.o
Ila nimemuambia kaka mm nitakomaa haswa na sitokubali ipite siku ama iipite module sijasoma na kuelewa,bado ananicheka sana sasa sijui kama haiwezekani au nn
Kazana Muombe Mungu..hamna kinachoshindikana chini ya jua
 
Mnasemaga tu mkifika chuo mnakuwa vilaza mda wote mnawazaga mademu nakujiona mshakuwa madaktari bingwa acha mbwebwe kijana...shule haitaj kujinad jf
Aa mbwembwe gan kaka,mm sinaga hizo habari kabisa kaka,nina mke na nimejizatiti katika kila hali kuhakikisha nafanikisha jambo langu,ninachoshukuru mm sio mtu wa madem kiivo,nimefanya kazi sehemu mbalimbali zenye mchanganyiko wa wanawake na wanaume kwa zaidi ya miaka minne sikuwa na mahusiano na wanawake zaidi ya mkewangu mpendwa
 
jitahidi sana uelewe, usikremu
Asante sana darebeca,ubarikiwe nina hamu yakuwa daktari bingwa mtaalamu,mpole mstaarabu ninaependa kazi yangu.je naweza kutafuta knowledge mbali na yale ninayofundushwa chuo ?
 
wewe dogo acha ujinga kuandika lengo kwenye daftari sio ndo kupata hyo GPA wewe kasome uache makundi na ujitaidi kuwa na nidham kwa malecture hapo utaenda poa
Kaka sante sana kaka,kawaida yangu huwa naandika malengo katika daftariila sawa.je unaposema niache makundi una maanisha makundi gani kaka ?
Hapa ndo mm napata nasaa zenu wakubwa hivyio nitazichukua na kuziishi.
 
Asante sana darebeca,ubarikiwe nina hamu yakuwa daktari bingwa mtaalamu,mpole mstaarabu ninaependa kazi yangu.je naweza kutafuta knowledge mbali na yale ninayofundushwa chuo ?

Ndio, humu kwenye internet kumejaa information nyingi kuongeza knowledge mbali na chuo ni wewe tu,tafuta tovuti ambazo ni za kidaktari ambazo ni za uhakika..umejiridhisha kuwa ziko credible then uwe unajisomea,cha muhimu kuelewa mkuu na sio ku kremu,kila la kheri..
 
Back
Top Bottom