Nimechaguliwa kwenda Chuo cha Ufundi Arusha, naomba muongozo

Kylen stone

Member
Joined
Apr 10, 2022
Posts
5
Reaction score
4
Habari zenu wakuu,

Nimechaguliwa kwenda chuo Cha ufundi Arusha (ATC), sasa nilikuwa naomba muongozo nini cha kufanya kwasababu nimeingia kwenye website yao siielewi.

Napiga simu haipokelewi. Nilikuwa naomba msaada wenu
 
Habari zenu wakuu,

Nimechaguliwa kwenda chuo Cha ufundi Arusha (ATC), sasa nilikuwa naomba muongozo nini cha kufanya kwasababu nimeingia kwenye website yao siielewi.

Napiga simu haipokelewi. Nilikuwa naomba msaada wenu
Wewe uko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…