Nimechaguliwa multiple selection Bachelor of Medical Laboratory na Pharmacy niende chuo kipi?

Nimechaguliwa multiple selection Bachelor of Medical Laboratory na Pharmacy niende chuo kipi?

Are you passionate about science and technology? Ready to make a difference in the world of laboratory sciences? Join us at the Dar es Salaam Institute of Technology, Mwanza Campus for our Bachelor of Technology (B. Tech) in Laboratory Sciences program!
 
Habari,

Selection zimetoka ambapo nimechaguliwa kusomea Medical Laboratory General Muhas na Bachelor of Pharmacy Bugando na Kampala University je nikasome course ipi kati ya hizo?
Soma degree ya bei nafuu. Utashangaa ukiingia kazini,mtu wa medical lab ana enjoy kazi kwani kila mara semina ,safari na posho nyingi kuliko mfamasia ambaye hata tu kwenye ajira za serikali wanaajiriwa wachache sana kwa kuwa kazi zao zinafanywa na hata medical attendants.



Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom