ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
- Thread starter
- #41
Maswali ya kitoto, napiga tako sabaBao Moja unapiga dk ngapi ?? Tuanzie hapo kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali ya kitoto, napiga tako sabaBao Moja unapiga dk ngapi ?? Tuanzie hapo kwanza
We mwenyewe una tabia za kitoto , unashindwa kumvumilia mkeo akiwa period vipi akiwa mjamzito hadi kujifungua amalize arobaini apone vizuri, si utaenda tomba hasta vichaa.Maswali ya kitoto, napiga tako saba
Mzee wa michepuko anaweza kukupa , ongea nae vizuriMimi nimechanganyikiwa nimepata shida inayohitaji M2
Mkeo ashaacha kutoa Yas?? Au nayo inaingia mwezini??Nimeongea ukweli, nitabadilika baada ya spana hizi, nimejua kweli nakosea
Nakumbuka late 90s tukiwa tumekaa Tanga hotel kuna mshkaki wangu walimface mademu watano kila mmoja kwa muda wake kumuambia kama wana mimba zake. Jamaa alikonda ndani ya saa chache ila mwisho wa siku alizaa mmoja tu, na mtoto ni Wakili wa kujitegemea now, kaapishwa last year.Sijawahi kukutana na kituko kilichonitokea siku ya juzi, Jana na Leo. Inabidi nifikiri mara 1000, muda wote huu sikiwahi kung'amua hili.
Mke wangu aliingia period kama kawaida, tarehe zake ni hizi za 24-29. Sasa Toka Jana nimekuwa nikihangaika na michepuko. Jana nilipata mchepuko mmoja ukawa upo period, nikashangaa nikadhani amecolabo na wife ninyimwe, Jana hiyo hiyo nikapeleka ulevi wangu baa moja nikamnunulia mdada bia nyingi na chakula mwisho wa siku akasema yupo period Nikaenda kulala.
Cha ajabu Leo Asubuhi nimeamka na hangover , na sijaenda kupiga kura, nikatoka home kama kawaida holiday, nikakamata vitoto viwili vya chuo, tukaenda kwenye bia na ngurue tumekula na kunywa, Sasa yule naemjua alikuja na mwenzie , Sasa mwenyeji wangu ambaye ndo mashine yangu , Toka tumeenda kula analalamika tumbo , niliwapiga Hennessy, akanambia anahisi tumbo la period. Sasa nikamtaim nikaongea na rafiki ake aliekuja nae , akanambia yupo period atanipa jumamos, si anajua na mahela na tunazurula na harrier tako la nyani. Nikawarudisha hostel. Sasa
Saa 10 kamili nikavuta mashine ingine ya Chuo(demu wangu pia), nikaiambia vipi ikasema nataka nikaangalie mpira, Sasa nimeipeleka liquor store tunakunywa,naona anakunywa bia taratibu nikamwambia mwaga moto piga vyombo, Molaaaah akanambia tupo linamsumbua, nikapagawa nikasema ' mke, mchepuko 1, mchepuko2, mchepuko 3 wote wapo period.
Sasa lengo langu nikuja kuuliza je hizi tarehe ndio wanawake wengi wanaingia period au nimechomekewa boya Mimi.
Mungu tusaidie wanawake, huyu ni mume wa mtu. Mke naye ana amani, anajivunia ’mume’!
Mhhh hapana naongea ukweli, nadhani ingependeza ungejikita moja Kwa moja kwenye hojaHapa hakuna mtu mwenye ndoa wala hao mademu zako umetupiga kamba bwana mdogo. Hadithi njoo utam kolea.
Ofcourse that was unnecessary to bring to this topic, pia Mimi sio Dogo am 45, pia jikite kwenye mada tafadhaliMada na kututambia kuwa una Harrier tako la nyani mbn havihusiani acha ulimbukeni dogo na kujikuta wa kishua kumbe pimbi tu.
Ila huyu kazidi, michepuko ni mingi sana...Haya ndo maisha ya ME wengi kwenye ndoa
Haina ubishi, huku mitaani tunaona na tunasikia
Dah
Basi sawa...Nimeongea ukweli, Hali niliyokutana nayo, may be kwako ni utoto, ila nimeongea kilichonitokea
Ofcourse that was unnecessary to bring to this topic, pia Mimi sio Dogo am 45, pia jikite kwenye mada tafadhali
Wife wangu yuko period tangu janaSijawahi kukutana na kituko kilichonitokea siku ya juzi, Jana na Leo. Inabidi nifikiri mara 1000, muda wote huu sikiwahi kung'amua hili.
Mke wangu aliingia period kama kawaida, tarehe zake ni hizi za 24-29. Sasa Toka Jana nimekuwa nikihangaika na michepuko. Jana nilipata mchepuko mmoja ukawa upo period, nikashangaa nikadhani amecolabo na wife ninyimwe, Jana hiyo hiyo nikapeleka ulevi wangu baa moja nikamnunulia mdada bia nyingi na chakula mwisho wa siku akasema yupo period Nikaenda kulala.
Cha ajabu Leo Asubuhi nimeamka na hangover , na sijaenda kupiga kura, nikatoka home kama kawaida holiday, nikakamata vitoto viwili vya chuo, tukaenda kwenye bia na ngurue tumekula na kunywa, Sasa yule naemjua alikuja na mwenzie , Sasa mwenyeji wangu ambaye ndo mashine yangu , Toka tumeenda kula analalamika tumbo , niliwapiga Hennessy, akanambia anahisi tumbo la period. Sasa nikamtaim nikaongea na rafiki ake aliekuja nae , akanambia yupo period atanipa jumamos, si anajua na mahela na tunazurula na harrier tako la nyani. Nikawarudisha hostel. Sasa
Saa 10 kamili nikavuta mashine ingine ya Chuo(demu wangu pia), nikaiambia vipi ikasema nataka nikaangalie mpira, Sasa nimeipeleka liquor store tunakunywa,naona anakunywa bia taratibu nikamwambia mwaga moto piga vyombo, Molaaaah akanambia tupo linamsumbua, nikapagawa nikasema ' mke, mchepuko 1, mchepuko2, mchepuko 3 wote wapo period.
Sasa lengo langu nikuja kuuliza je hizi tarehe ndio wanawake wengi wanaingia period au nimechomekewa boya Mimi.
Unautweza uanaume wako!!Sijawahi kukutana na kituko kilichonitokea siku ya juzi, Jana na Leo. Inabidi nifikiri mara 1000, muda wote huu sikiwahi kung'amua hili.
Mke wangu aliingia period kama kawaida, tarehe zake ni hizi za 24-29. Sasa Toka Jana nimekuwa nikihangaika na michepuko. Jana nilipata mchepuko mmoja ukawa upo period, nikashangaa nikadhani amecolabo na wife ninyimwe, Jana hiyo hiyo nikapeleka ulevi wangu baa moja nikamnunulia mdada bia nyingi na chakula mwisho wa siku akasema yupo period Nikaenda kulala.
Cha ajabu Leo Asubuhi nimeamka na hangover , na sijaenda kupiga kura, nikatoka home kama kawaida holiday, nikakamata vitoto viwili vya chuo, tukaenda kwenye bia na ngurue tumekula na kunywa, Sasa yule naemjua alikuja na mwenzie , Sasa mwenyeji wangu ambaye ndo mashine yangu , Toka tumeenda kula analalamika tumbo , niliwapiga Hennessy, akanambia anahisi tumbo la period. Sasa nikamtaim nikaongea na rafiki ake aliekuja nae , akanambia yupo period atanipa jumamos, si anajua na mahela na tunazurula na harrier tako la nyani. Nikawarudisha hostel. Sasa
Saa 10 kamili nikavuta mashine ingine ya Chuo(demu wangu pia), nikaiambia vipi ikasema nataka nikaangalie mpira, Sasa nimeipeleka liquor store tunakunywa,naona anakunywa bia taratibu nikamwambia mwaga moto piga vyombo, Molaaaah akanambia tupo linamsumbua, nikapagawa nikasema ' mke, mchepuko 1, mchepuko2, mchepuko 3 wote wapo period.
Sasa lengo langu nikuja kuuliza je hizi tarehe ndio wanawake wengi wanaingia period au nimechomekewa boya Mimi.
Hela huna na hii ni chai 🚮🚮
May be unanielewa, mpaka nimeanzisha mada yamenikuta sio stori, Sasa sijui watoto wa 2000 wanajua naitafuta likes, nime share hapa nisikie opinion za wadau, pia tunajifunza mengi kupitia Uzi mbalimbaliWife wangu yuko period tangu jana
Baby mama wangu nae juzi aliniambia tumbo linamsumbua, jana nikataka nimpange leo tukapige kura akaniambia simba wako uwanjani.