Ndo lengo la mada, kutuambia kuwa ana gari, utakuta kakopa hela benki ndo kalinunua mwezi huu, so linamzuzua.Mada na kututambia kuwa una Harrier tako la nyani mbn havihusiani acha ulimbukeni dogo na kujikuta wa kishua kumbe pimbi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo lengo la mada, kutuambia kuwa ana gari, utakuta kakopa hela benki ndo kalinunua mwezi huu, so linamzuzua.Mada na kututambia kuwa una Harrier tako la nyani mbn havihusiani acha ulimbukeni dogo na kujikuta wa kishua kumbe pimbi tu.
Kwa kusoma tu kichwa cha habari nilishawishika nikushauri usomee upadri. Hayo maisha yamekukataa.🤣🤣🤣Hawa mambwa ndo wanatutukanisha wanaume wengi sababu ya uhayawani wao.
Mke yuko period badala upate mapumziko akimaliza mparamiane vizuri, unahangaika na malaya. Sijui ataifaidije ya mkewe akimaliza period.
Wazee wa kataa ndoa wana hoja wasikilizwe.
Kabisa. Imagine na huyu anategemea mke wake awe mwaminifu. Inawezekana vipi? Vita ni vita.Kataa ndoa hapa wanabeba baraka zote
vita ni kubwa kweli kuna namna kataa ndoa wana hoja maana hali ni mbaya.Kabisa. Imagine na huyu anategemea mke wake awe mwaminifu. Inawezekana vipi? Vita ni vita.
Tena ni malaya mbwa, mpaka wanaume wengine hatuaminiki, tunaonekana ni wale wale tu.Aiseee! Kuna watu ni malaya bana
wanakuona kengeSijawahi kukutana na kituko kilichonitokea siku ya juzi, Jana na Leo. Inabidi nifikiri mara 1000, muda wote huu sikiwahi kung'amua hili.
Mke wangu aliingia period kama kawaida, tarehe zake ni hizi za 24-29. Sasa Toka Jana nimekuwa nikihangaika na michepuko. Jana nilipata mchepuko mmoja ukawa upo period, nikashangaa nikadhani amecolabo na wife ninyimwe, Jana hiyo hiyo nikapeleka ulevi wangu baa moja nikamnunulia mdada bia nyingi na chakula mwisho wa siku akasema yupo period Nikaenda kulala.
Cha ajabu Leo Asubuhi nimeamka na hangover , na sijaenda kupiga kura, nikatoka home kama kawaida holiday, nikakamata vitoto viwili vya chuo, tukaenda kwenye bia na ngurue tumekula na kunywa, Sasa yule naemjua alikuja na mwenzie , Sasa mwenyeji wangu ambaye ndo mashine yangu , Toka tumeenda kula analalamika tumbo , niliwapiga Hennessy, akanambia anahisi tumbo la period. Sasa nikamtaim nikaongea na rafiki ake aliekuja nae , akanambia yupo period atanipa jumamos, si anajua na mahela na tunazurula na harrier tako la nyani. Nikawarudisha hostel. Sasa
Saa 10 kamili nikavuta mashine ingine ya Chuo(demu wangu pia), nikaiambia vipi ikasema nataka nikaangalie mpira, Sasa nimeipeleka liquor store tunakunywa,naona anakunywa bia taratibu nikamwambia mwaga moto piga vyombo, Molaaaah akanambia tupo linamsumbua, nikapagawa nikasema ' mke, mchepuko 1, mchepuko2, mchepuko 3 wote wapo period.
Sasa lengo langu nikuja kuuliza je hizi tarehe ndio wanawake wengi wanaingia period au nimechomekewa boya Mimi.
huyu siyo malay Bali ana ugwadu ma kakosa pa kuponea.Tena ni malaya mbwa, mpaka wanaume wengine hatuaminiki, tunaonekana ni wale wale tu.
Mimi nipo namsubiria mkeo amalize period pia tuendelee kama kawaida yetuSijawahi kukutana na kituko kilichonitokea siku ya juzi, Jana na Leo. Inabidi nifikiri mara 1000, muda wote huu sikiwahi kung'amua hili.
Mke wangu aliingia period kama kawaida, tarehe zake ni hizi za 24-29. Sasa Toka Jana nimekuwa nikihangaika na michepuko. Jana nilipata mchepuko mmoja ukawa upo period, nikashangaa nikadhani amecolabo na wife ninyimwe, Jana hiyo hiyo nikapeleka ulevi wangu baa moja nikamnunulia mdada bia nyingi na chakula mwisho wa siku akasema yupo period Nikaenda kulala.
Cha ajabu Leo Asubuhi nimeamka na hangover , na sijaenda kupiga kura, nikatoka home kama kawaida holiday, nikakamata vitoto viwili vya chuo, tukaenda kwenye bia na ngurue tumekula na kunywa, Sasa yule naemjua alikuja na mwenzie , Sasa mwenyeji wangu ambaye ndo mashine yangu , Toka tumeenda kula analalamika tumbo , niliwapiga Hennessy, akanambia anahisi tumbo la period. Sasa nikamtaim nikaongea na rafiki ake aliekuja nae , akanambia yupo period atanipa jumamos, si anajuua na mahela na tunazurula na harrier tako la nyani. Nikawarudisha hostel. Sasa
Saa 10 kamili nikavuta mashine ingine ya Chuo(demu wangu pia), nikaiambia vipi ikasema nataka nikaangalie mpira, Sasa nimeipeleka liquor store tunakunywa,naona anakunywa bia taratibu nikamwambia mwaga moto piga vyombo, Molaaaah akanambia tupo linamsumbua, nikapagawa nikasema ' mke, mchepuko 1, mchepuko2, mchepuko 3 wote wapo period.
Sasa lengo langu nikuja kuuliza je hizi tarehe ndio wanawake wengi wanaingia period au nimechomekewa boya Mimi.
Una mke mtamu jamaa acha tuNa
Mimi nipo namsubiria mkeo amalize period pia tuendelee kama kawaida yetu
Akimaliza oeriod mkeo naruka naeHata kama wamedanganya, so mke wangu kslanidanganya,
Bora walioruhusiwa kuoa wanne?Mungu tusaidie wanawake, huyu ni mume wa mtu. Mke naye ana amani, anajivunia ’mume’!
Period wanaingia wengine, kuvurugwa anavurugwa yeye!!🤣🤣Umechanganyikiwa na Nini mkuu🤣
Uimaanisha hivi:-👇👇👇May be unanielewa, mpaka nimeanzisha mada yamenikuta sio stori, Sasa sijui watoto wa 2000 wanajua naitafuta likes, nime share hapa nisikie opinion za wadau, pia tunajifunza mengi kupitia Uzi mbalimbali
What is wrong with sex?Sex is overrated in this cursed continent
Why sex is overrated in this cursed continent?
Because we are consumers and not producers so all we think 24/7 is eat, sex and sleep.