klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
hahahahaaa!
Arusha kuna masoko mjingaa!
Muulize preta anayajua!
Ni kweli kabisa, kuna soko lingine linaitwa soko Mapunda.......... lipo Unga Limited kam sikosei.........
Hili sredi limenikumbusha mbali aisee!
kuna siku nilijifanya nina hasira nataka kujiuwa nikameza panadol sita! Dah! skufa aisee!
side effect yake wiki ilofata waifu alipata ujauzito. Khaaa! panadol bana!
Jamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.Full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta nimempa mimba dem ambaye sina mpango wa kumuowa kutokana na tabia zake na uwezo wake kufikiria bado ni mdogo na sijui dem wangu wa kweli akijua itakuje na kiukweli nampenda sana mpenda sana dem wangu wa ukweli kuanzia sura hadi tabia jamani nifanye nini ?
Siamini kama naweza kupata majibu kama haya kwa magrit thinkers ila naamini wapo wenye matatizo kama yangu wameyaficha wanaogopa aibu kwa wana jf ok natatua nikishindwa ndo hivyo tena
watu mna hamu jamaa ajinyonge
duh huko aliko nafikiri akisoma hizi post hapa naona anacheka mwenyewe na hata hiyo hamu ya kujinyonga haipo tena
Siamini kama naweza kupata majibu kama haya kwa magrit thinkers ila naamini wapo wenye matatizo kama yangu wameyaficha wanaogopa aibu kwa wana jf ok natatua nikishindwa ndo hivyo tena
i am too old for this lol
i am too old for this lol