hehehe huyu alitegemea vidada vya JF vitambembeleza asijinyonge, kumbe vidada vyenyewe vya JF vimedata kama waume zao! ndo kwanza vinafagilia jamaa ajinyonge. Dah! imekula kwa mleta sredi aisee!
Ukubwa ndo dawa yenyewe,
Msaidie dogo asijitundike!
Angejua vidada vya huku ni vibaya kwa kejeli asingeleta mada
hapa vinakutwanga za uso bila woga wowote
hehehe huyu alitegemea vidada vya JF vitambembeleza asijinyonge, kumbe vidada vyenyewe vya JF vimedata kama waume zao! ndo kwanza vinafagilia jamaa ajinyonge. Dah! imekula kwa mleta sredi aisee!
Angejua vidada vya huku ni vibaya kwa kejeli asingeleta mada
hapa vinakutwanga za uso bila woga wowote
hehehe huyu alitegemea vidada vya JF vitambembeleza asijinyonge, kumbe vidada vyenyewe vya JF vimedata kama waume zao! ndo kwanza vinafagilia jamaa ajinyonge. Dah! imekula kwa mleta sredi aisee!
hehehe huyu alitegemea vidada vya JF vitambembeleza asijinyonge, kumbe vidada vyenyewe vya JF vimedata kama waume zao! ndo kwanza vinafagilia jamaa ajinyonge. Dah! imekula kwa mleta sredi aisee!
Naomba kwanza mfute hizo kauli zenu...Hapa JF, tena kwenye jukwaa la MMU hakuna vidada!!
Aisee mtafute Uporoto au Hashycool wampe huyu strit boy ushauriheheh alikuwa na plan ya kujinyonga , lakini baada ya kusoma hii sredi nazani atajiuwa kwa shock ya umeme ili kusave muda!
Khaa! JF makatili wajameni, yaani mimi peke yangu ndio nimemshauri kihuruma
wewe ni bora ujinyonge tuu kma kweli unampenda demu wako iweje utembee nje bila condom si utamuua kwa ukwimi siku si nyingi kama unatembea hovyo tena shukuru mungu mimba je ungepata ngoma ingekuwaje.jirekebisheJamani wana jf naombeni msaada wenu nipo njia panda nasijui cha kufanya.Full stor ni kwamba kama mnavyo elewa wanaume wengi kuwa na mpenzi mmoja (girl friend) wengi tumeshindwa kilicho nikuta nimempa mimba dem ambaye sina mpango wa kumuowa kutokana na tabia zake na uwezo wake kufikiria bado ni mdogo na sijui dem wangu wa kweli akijua itakuje na kiukweli nampenda sana mpenda sana dem wangu wa ukweli kuanzia sura hadi tabia jamani nifanye nini ?
uhhhh nafuta kauli yangu
Dadaz wa Jf
Aisee mtafute Uporoto au Hashycool wampe huyu strit boy ushauri
umeona eee? huyu muuaji!!!!!!!!!!!!!!wewe ni bora ujinyonge tuu kma kweli unampenda demu wako iweje utembee nje bila condom si utamuua kwa ukwimi siku si nyingi kama unatembea hovyo tena shukuru mungu mimba je ungepata ngoma ingekuwaje.jirekebishe
Siamini kama naweza kupata majibu kama haya kwa magrit thinkers ila naamini wapo wenye matatizo kama yangu wameyaficha wanaogopa aibu kwa wana jf ok natatua nikishindwa ndo hivyo tena
Nae demu wako wa kweli mpige mimba ili asikukimbie
Leo wajukuu na mabrother/masista mmeniacha hoi...Mara hoooooo, katembea bila kondomu, mara mwingine anasema jamaa ameanza mapema kucheat....n.k!!
Hata viongozi wa ile club yetu tukufu wameingia mitini badala ya kusaidia fisadi mtoto wa mambo ya ngono!!
Kijana CV yake inatisha.......Mungu ampe uzima walau wa miaka kama 10 hivi ili awe Professor kabisa!!
Sasa Mzee DC dogo kayataka mwenyewe halafu anataka kujinyonga tumsaidieje hapo....
Ila namuona bado yupo ina maana hajajinyonga bado mie nilivyokuwa na hamu ya pilau kanikata stimu ile mbaya
Haya dada....Mie nimshatimiza wajibu wangu...Kama hamsikii basi tena,
Mmesahau kwamba mna watoto na wajukuu??
Msaidieni mtoto wa mwenzenu!!