hehehe huyu alitegemea vidada vya JF vitambembeleza asijinyonge, kumbe vidada vyenyewe vya JF vimedata kama waume zao! ndo kwanza vinafagilia jamaa ajinyonge. Dah! imekula kwa mleta sredi aisee!
Angejua vidada vya huku ni vibaya kwa kejeli asingeleta mada
hapa vinakutwanga za uso bila woga wowote