Nimechapiwa mke wangu na mzoa taka

Hii ya leo chai bila majani kabisa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa mpuuzi sana. Chai yako imekosa sukari tu. Ila ulishindwaje kumpa za mtoto wa bob junior? [emoji116]
 
Huyo mzoa taka nenda kamchapie mama yake itapendeza sana
 
Nmeishia hapo kwenye,wewe ni dereva wa transit,msamehe tu manake we mwenyewe una rundo la malaya njiani.
 
Chai
 
safi sana! wanaume wote tungekuwa kama wewe ingekuwa powa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…