Nimechapiwa mke wangu na mzoa taka

Nimechapiwa mke wangu na mzoa taka

Mke wangu amechapwa na mzoa taka ama hakika nimeumia sana ila siwezi kumuacha huyu mke wangu kwa sababu namoenda sana ila ameniomba msamaha Amelia sana mpaka nimemuonea huruma sana mpaka na mimi nikaamua kulia nae

Mimi nafanya kazi ya kuendesha magari makubwa ya kwenda Congo kupeleka mizigo mke wangu huwa anabakia nyumbani nyumba yangu si haba ni bonge la nyumba aisee katika mtaani wangu nyumba yangu ndiyo ya kueleweka kuliko nyumba zingine aisee

Juzi wakati narudi kutoka Congo 🇨🇩 nilikuwa nampigia simu mke wangu kila nikimpigia hapokei nikasema sio kitu nikaingia nyumbani kimya kimya kufungua geti nikakuta na vifaa vya mzoa taka nikasema labda yupo anakunywa chai kwa sababu ndiyo kawaida yangu kuwakirimu Wageni wakuu baada ya kuingia ndani daaa asalaleleeee looooh mzoa taka yupo juuu ya kifua cha mke wangu akipeleka moto na mke wangu akigugumia kwa raha tu nikazimia baada ya kuzinduka nikajikuta nipo hospitali sina hili wala lile! Duuuuh
Hii ya leo chai bila majani kabisa.
 
ila we jamaa hauko serious, tena umeona kwa macho yako khaaa, hii itakua chai
Kazia na hii kabisa mkuu[emoji23]
IMG-20230319-WA0003.jpg
 
Mke wangu amechapwa na mzoa taka ama hakika nimeumia sana ila siwezi kumuacha huyu mke wangu kwa sababu namoenda sana ila ameniomba msamaha Amelia sana mpaka nimemuonea huruma sana mpaka na mimi nikaamua kulia nae

Mimi nafanya kazi ya kuendesha magari makubwa ya kwenda Congo kupeleka mizigo mke wangu huwa anabakia nyumbani nyumba yangu si haba ni bonge la nyumba aisee katika mtaani wangu nyumba yangu ndiyo ya kueleweka kuliko nyumba zingine aisee

Juzi wakati narudi kutoka Congo [emoji1078] nilikuwa nampigia simu mke wangu kila nikimpigia hapokei nikasema sio kitu nikaingia nyumbani kimya kimya kufungua geti nikakuta na vifaa vya mzoa taka nikasema labda yupo anakunywa chai kwa sababu ndiyo kawaida yangu kuwakirimu Wageni wakuu baada ya kuingia ndani daaa asalaleleeee looooh mzoa taka yupo juuu ya kifua cha mke wangu akipeleka moto na mke wangu akigugumia kwa raha tu nikazimia baada ya kuzinduka nikajikuta nipo hospitali sina hili wala lile! Duuuuh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa mpuuzi sana. Chai yako imekosa sukari tu. Ila ulishindwaje kumpa za mtoto wa bob junior? [emoji116]
20230327_192342.jpg
 
Mke wangu amechapwa na mzoa taka ama hakika nimeumia sana ila siwezi kumuacha huyu mke wangu kwa sababu namoenda sana ila ameniomba msamaha Amelia sana mpaka nimemuonea huruma sana mpaka na mimi nikaamua kulia nae

Mimi nafanya kazi ya kuendesha magari makubwa ya kwenda Congo kupeleka mizigo mke wangu huwa anabakia nyumbani nyumba yangu si haba ni bonge la nyumba aisee katika mtaani wangu nyumba yangu ndiyo ya kueleweka kuliko nyumba zingine aisee

Juzi wakati narudi kutoka Congo [emoji1078] nilikuwa nampigia simu mke wangu kila nikimpigia hapokei nikasema sio kitu nikaingia nyumbani kimya kimya kufungua geti nikakuta na vifaa vya mzoa taka nikasema labda yupo anakunywa chai kwa sababu ndiyo kawaida yangu kuwakirimu Wageni wakuu baada ya kuingia ndani daaa asalaleleeee looooh mzoa taka yupo juuu ya kifua cha mke wangu akipeleka moto na mke wangu akigugumia kwa raha tu nikazimia baada ya kuzinduka nikajikuta nipo hospitali sina hili wala lile! Duuuuh
Huyo mzoa taka nenda kamchapie mama yake itapendeza sana
 
Nmeishia hapo kwenye,wewe ni dereva wa transit,msamehe tu manake we mwenyewe una rundo la malaya njiani.
 
Mke wangu amechapwa na mzoa taka ama hakika nimeumia sana ila siwezi kumuacha huyu mke wangu kwa sababu namoenda sana ila ameniomba msamaha Amelia sana mpaka nimemuonea huruma sana mpaka na mimi nikaamua kulia nae

Mimi nafanya kazi ya kuendesha magari makubwa ya kwenda Congo kupeleka mizigo mke wangu huwa anabakia nyumbani nyumba yangu si haba ni bonge la nyumba aisee katika mtaani wangu nyumba yangu ndiyo ya kueleweka kuliko nyumba zingine aisee

Juzi wakati narudi kutoka Congo 🇨🇩 nilikuwa nampigia simu mke wangu kila nikimpigia hapokei nikasema sio kitu nikaingia nyumbani kimya kimya kufungua geti nikakuta na vifaa vya mzoa taka nikasema labda yupo anakunywa chai kwa sababu ndiyo kawaida yangu kuwakirimu Wageni wakuu baada ya kuingia ndani daaa asalaleleeee looooh mzoa taka yupo juuu ya kifua cha mke wangu akipeleka moto na mke wangu akigugumia kwa raha tu nikazimia baada ya kuzinduka nikajikuta nipo hospitali sina hili wala lile! Duuuuh
Chai
 
Back
Top Bottom