Nimecheka kwenye hii video mpalestina alivyofurahi Waisrael kuvamiwa na sasa analia

Nimecheka kwenye hii video mpalestina alivyofurahi Waisrael kuvamiwa na sasa analia

Hizi issues,siyo za kufanyia mzaha ni mambo ya ajabu yanaendelea .Omba yasikukute vurugu za ovyo KABISA .Wala hupaswi kushabikia
 
Kwamba wewe unacheka wakati umati mkubwa kama huu ukiandamana kwingine ulaya huko kulaani?

View attachment 2798521

Wala hujishangai?

Kumbe una nini cha mno ndugu kuliko umati wote huu?
HUU UMATI WOTE NI WAARABU WAISLAMU ASILIMIA 75% NA WAZUNGU ASILIMIA 5% NA WAAFRIKA ASILIMIA 10% NA WAHINDI WAPAKSTANI ASILIMIA 10%.
NA WOTE HAWAZIDI WATU ELFU HAMSINI NA WAMEJILUNDIKA KWENYE DARAJA LA MTO THAMES PALE LONDON NA KUPIGA PICHA ZA KIMKAKATI ILI WAONEWE HURUMA NA DUNIA.
 
Kwamba wewe unacheka wakati umati mkubwa kama huu ukiandamana kwingine ulaya huko kulaani?

View attachment 2798521

Wala hujishangai?

Kumbe una nini cha mno ndugu kuliko umati wote huu?
wangelaani na namna mamia wanavyoteswa na kuuliwa na wapiganaj wa kiislam baran afrika , angalau tungewaona wapenda haki ila wamekaa kimya mauaji yanayofanywa na waislam
 

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.​

MAARABU NI MANAFIKI NA NDIO MAANA MTEMI MIRAMBO ALIWATIA ADABU TABORA.
SASA SI KILA MTU AFUATE DINI YAKE.
MAARABU DINI YAO
MAAFRIKA DINI YAO
MAYAHUDI DINI YAO
MAZUNGU DINI YAO
MACHINA DINI YAO
MAHINDI DINI YAO
MASOMALI DINI YAO
MAABESHI DINI TAO.
HAKUNA ATAKAEKUA NA MPANGO NA MWENZAKE
 

Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.​

acha kupotosha watu ndan ya israel wapo watu wa aina mbali mbali na wanaish kwa amani wakifuata mila zao , waislam ndo wenye hizo tabia hata hapa kwetu ndo tabia zao , ukiwa miongoz mwao watakubagua hatari
 
wangelaani na namna mamia wanavyoteswa na kuuliwa na wapiganaj wa kiislam baran afrika , angalau tungewaona wapenda haki ila wamekaa kimya mauaji yanayofanywa na waislam
Mkuu umeongea pointi.
Mbona hamuandamani boko haram au al shabab wakiua watu wetu??
 
acha kupotosha watu ndan ya israel wapo watu wa aina mbali mbali na wanaish kwa amani wakifuata mila zao , waislam ndo wenye hizo tabia hata hapa kwetu ndo tabia zao , ukiwa miongoz mwao watakubagua hatari
Nilikua napita barabara ya umma pembeni kuna msikiti na ilikua ramadhani huku najinywea maji yangu sina tatizo na mtu.
Kuna jamaa akaja akataka kuninyanganya maji,,eti nisipite nayo nje ya msikiti na kwenye hiyo barabara ya umma.
Nilishangaa sana na nikamuuliza hii ni barabara ya msikiti au serikali???
Ule mzozo watu wakaingilia mm nikaendelea na safari zangu ila nilishangaa tabia za waswahili
 
Back
Top Bottom