master of cities
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 429
- 625
Ooh sawaaa daah, ahsante mkuuKifupi ni hivi'
Kuna clip inazagaa mtandaoni yaan mzee alienda mochwari kuchukua maiti alikua na AFTATU wahudumu wakamwambia ni zaidi ya MILLION...Akaanza kulia akisema amemkumbuka nyerere kama angekuepo angempa hyo maiti kwa AFTATU...
Kinachochekesha zaid alipewa juice kama kupoza maumivu,akaacha na kulia hapohapo....nenda kwenye instagram page ya ben paul ndio kapost.
Bei elekezi ya wamama wa vikobaJamii forum ina majibu ya kila swali , kuanzia maswali ya msingi mpak ya kijinga yote Yana majibu sahihi kupitia JF, mtandaoni sa hv ni vurugu mechi.
Kila Kona ni meme za "AFTATU " ndo zinatembea , daah kuuliza sio ujinga , ulianzaje na maana yake nn .... Kwa mwenye uelewa anitoe tongo tongo
View attachment 2412223
Vp kuhusu hyo mzee mwenye suti alianza kusema kuwa alimpa jamaa shiling20 jamaa ktk hzo pesa akampatia afu tatuKifupi ni hivi'
Kuna clip inazagaa mtandaoni yaan mzee alienda mochwari kuchukua maiti alikua na AFTATU wahudumu wakamwambia ni zaidi ya MILLION...Akaanza kulia akisema amemkumbuka nyerere kama angekuepo angempa hyo maiti kwa AFTATU...
Kinachochekesha zaid alipewa juice kama kupoza maumivu,akaacha na kulia hapohapo....nenda kwenye instagram page ya ben paul ndio kapost.
ile n ya kitambo sana tokea utawala wa Jpm sio ya jana wala juziVp kuhusu hyo mzee mwenye suti alianza kusema kuwa alimpa jamaa shiling20 jamaa ktk hzo pesa akampatia afu tatu