Nimechoka kuajiriwa sekta binafsi, vikampuni uchwara

Nimechoka kuajiriwa sekta binafsi, vikampuni uchwara

Monomer

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2023
Posts
214
Reaction score
358
Naombeni ushauri wadau waliofanikiwa baada ya kuwaza kama mimi. Mimi ni muajiliwa(kibarua) kampuni flani kwa sababu sina mkataba wowote sasa imefika muda kazi nimeifanya kwa muda mrefu sana nimechoka hivyo nataka nimwambie HR wa kampuni anipe barua yangu ya kuachishwa kazi ili niipeleke NSSF nikavute hicho kidogo kilichoko huko nikajiajiri Dar es Salaam.

N:B: Naishi mkoani, nimezaliwa mkoani, nimekulia mkoani lakinj ndoto zangu ni kuishi Dar na kuzeekea Dar.
 
Naombeni ushauri wadau waliofanikiwa baada ya kuwaza kama mimi.Mimi ni muajiliwa(kibarua) kampuni flani kwa sababu sina mkataba wowote sasa imefika muda kazi nimeifanya kwa muda mrefu sana nimechoka hivyo nataka nimwambie HR wa kampuni anipe barua yangu ya kuachishwa kazi,ili niipeleke NSSF nikavute hicho kidogo kilichoko huko nikajiajili dar es salaam.
N:B
Naishi mkoani,nimezaliwa mkoani,nimekulia mkoani lakinj ndoto zangu ni kuishi dar na kuzeekea dar.
Sisi tuliozaliwa dar tunataka tukazeekee shamba, ndo mana tumenunua kimbiji huko.

Unataka kuja kufanya biashara gani ukishatoa hela yako huko nssf
 
Mwaka 2004 niliwahi kuwa na mawazo kama haya, nilipo chukua NSSF ilikwisha hata sikujua imeishaje.
Leo hii nimerudi, mwaka wa 20 kwenye ajira tuliokua tukiita (kazi za kijinga) na mafanikio nimeyaona aiseee
 
Naombeni ushauri wadau waliofanikiwa baada ya kuwaza kama mimi. Mimi ni muajiliwa(kibarua) kampuni flani kwa sababu sina mkataba wowote sasa imefika muda kazi nimeifanya kwa muda mrefu sana nimechoka hivyo nataka nimwambie HR wa kampuni anipe barua yangu ya kuachishwa kazi ili niipeleke NSSF nikavute hicho kidogo kilichoko huko nikajiajiri Dar es Salaam.

N:B: Naishi mkoani, nimezaliwa mkoani, nimekulia mkoani lakinj ndoto zangu ni kuishi Dar na kuzeekea Dar.
= kuajiriwa.
=muajiriwa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Naombeni ushauri wadau waliofanikiwa baada ya kuwaza kama mimi. Mimi ni muajiliwa(kibarua) kampuni flani kwa sababu sina mkataba wowote sasa imefika muda kazi nimeifanya kwa muda mrefu sana nimechoka hivyo nataka nimwambie HR wa kampuni anipe barua yangu ya kuachishwa kazi ili niipeleke NSSF nikavute hicho kidogo kilichoko huko nikajiajiri Dar es Salaam.

N:B: Naishi mkoani, nimezaliwa mkoani, nimekulia mkoani lakinj ndoto zangu ni kuishi Dar na kuzeekea Dar.
🤣Make hapo kwanza Nicheke all the best mkuu kuna daslam, kuna dar afu kuna kuna Dar-es-alaam unataka kuish wapi
 
Kuna kampuni kila mwezi mtu anaacha kazi
kampuni yenye uhai inatakiwa kila siku wafanyakazi waingie na kuwacha/wachishwa.

Serikali ndiyo mtu anaganda toka anamaliza shule mpaka anastaafu au anafia hapo hapo.

Ukiona mtu hawachiwi kuondoka na kampuni binafsi elewa kuwa huyo ni mali (asset) muhimu sana.

Mfanyakazi kwenye kampuni binafsi anapimwa kama mali (asset) yoyote ile, kuna "appreciation" na "depreciation". Mali (asset) ikifikia kuwa dhima (liability) haina sababu ya kubaki kwenye kampuni.
 
kampuni yenye uhai inatakiwa kila siku wafanyakazi waingie na kuwacha/wachishwa.

Serikali ndiyo mtu anaganda toka anamaliza shule mpaka anastaafu au anafia hapo hapo.

Ukiona mtu hawachiwi kuondoka na kampuni binafsi elewa kuwa huyo ni mali (asset) muhimu sana.

Mfanyakazi kwenye kampuni binafsi anapimwa kama mali (asset) yoyote ile, kuna "appreciation" na "depreciation". Mali (asset) ikifikia kuwa dhima (liability) haina sababu ya kubaki kwenye kampuni.
Nyie ndo mnatreat wafanyakazi kama mbuzi
 
Kampuni kama clouds watu kama ni Kennedy,mena ally wanamda mrefu pale
kampuni yenye uhai inatakiwa kila siku wafanyakazi waingie na kuwacha/wachishwa.

Serikali ndiyo mtu anaganda toka anamaliza shule mpaka anastaafu au anafia hapo hapo.

Ukiona mtu hawachiwi kuondoka na kampuni binafsi elewa kuwa huyo ni mali (asset) muhimu sana.

Mfanyakazi kwenye kampuni binafsi anapimwa kama mali (asset) yoyote ile, kuna "appreciation" na "depreciation". Mali (asset) ikifikia kuwa dhima (liability) haina sababu ya kubaki kwenye kampuni.
 
Back
Top Bottom