- Thread starter
- #41
Basi kama wanaishi kwa sababu ya riziki ni dhahiri kwamba riziki zipo na zinapatikana kwa haraka kulinganisha na mikoani.Jambo lolote ukitaka kupiga hatua lazima uwe na mipango ,Dar watu wanaishi kwasababu TU ya riziki ila si kwamba wanapakubali watu ni nyomii kwanini hayo mawazo yako usiyafanyie hapo hapo mkoani