FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Mbuzi ana faida, tunam treat kwa kumtunza, anakuzalia, unakula nyama yake na ukiona hana faida unamuuza.Nyie ndo mnatreat wafanyakazi kama mbuzi
Wewe un una faida zipi za kuuzika? Ukishatumika, faida yako ikiisha unatupwa tu kama kondom.
Huo ndiyo ukweli, nani aweke dhima?