Basi kama wanaishi kwa sababu ya riziki ni dhahiri kwamba riziki zipo na zinapatikana kwa haraka kulinganisha na mikoani.Jambo lolote ukitaka kupiga hatua lazima uwe na mipango ,Dar watu wanaishi kwasababu TU ya riziki ila si kwamba wanapakubali watu ni nyomii kwanini hayo mawazo yako usiyafanyie hapo hapo mkoani
Dar sio ya maisha ya uzeenmawazo yangu pengine hafifu yananifanya nijiulize maswali mbona nyie mnaishi dar basi mi pia nataka nije kufanya mishe kama zenu lakini ziwe za kihalali tu.
Kwa jinsi unavyolalamika wewe ni liability tena la kutupa kabisa.Kwa hiyo kwa tathimini yako kulingana na bandiko langu. Je, mimi ni asset au liability?
Naombeni ushauri wadau waliofanikiwa baada ya kuwaza kama mimi. Mimi ni muajiliwa(kibarua) kampuni flani kwa sababu sina mkataba wowote sasa imefika muda kazi nimeifanya kwa muda mrefu sana nimechoka hivyo nataka nimwambie HR wa kampuni anipe barua yangu ya kuachishwa kazi ili niipeleke NSSF nikavute hicho kidogo kilichoko huko nikajiajiri Dar es Salaam.
N:B: Naishi mkoani, nimezaliwa mkoani, nimekulia mkoani lakinj ndoto zangu ni kuishi Dar na kuzeekea Dar.
2004 ndo unaanza kazi duuh we ni mdogo wangu kabisa uwe unanisalimia mkuuMwaka 2004 niliwahi kuwa na mawazo kama haya, nilipo chukua NSSF ilikwisha hata sikujua imeishaje.
Leo hii nimerudi, mwaka wa 20 kwenye ajira tuliokua tukiita (kazi za kijinga) na mafanikio nimeyaona aiseee
ulitaka wakudekeze kwani wajomba zako?Nikiwahi kufanya kazi golden tulip moja hiv. Kumamae wale wahindi ni nyoko! Nilikaaga miez mitatu tu nikala kona
Ndo mana nakuuliza Laazizi unatreat wafanya kazi kama mbuzi?ulitaka wakudekeze kwani wajomba zako?
Wacha ushoga wa name calling.Ndo mana nakuuliza Laazizi unatreat wafanya kazi kama mbuzi?
Jamaa anapaswa aelewe licha ya dar kuwa na population kubwa ila maisha ni magumu mno! Ushindani wa kibiashara ni mkubwa mno kiasi kwamba hyo hela nsssf inaweza kuisha kabla hajasimama vizuri.Jambo lolote ukitaka kupiga hatua lazima uwe na mipango ,Dar watu wanaishi kwasababu TU ya riziki ila si kwamba wanapakubali watu ni nyomii kwanini hayo mawazo yako usiyafanyie hapo hapo mkoani
OKWacha ushoga wa name calling.
Fanya kitu roho inapenda ila ukweli nisiouficha ni kuwa Dar utaenda kupigika mpaka ukumbuke tukampuni uchwaraNaombeni ushauri wadau waliofanikiwa baada ya kuwaza kama mimi. Mimi ni muajiliwa(kibarua) kampuni flani kwa sababu sina mkataba wowote sasa imefika muda kazi nimeifanya kwa muda mrefu sana nimechoka hivyo nataka nimwambie HR wa kampuni anipe barua yangu ya kuachishwa kazi ili niipeleke NSSF nikavute hicho kidogo kilichoko huko nikajiajiri Dar es Salaam.
N:B: Naishi mkoani, nimezaliwa mkoani, nimekulia mkoani lakinj ndoto zangu ni kuishi Dar na kuzeekea Dar.
Huu ndio ukweli mchungu uliopo katika sekta binafsi. Watu hawaangalii utu au upendo, kinachojaliwa ni thamani gani unaongeza katika kampanikampuni yenye uhai inatakiwa kila siku wafanyakazi waingie na kuwacha/wachishwa.
Serikali ndiyo mtu anaganda toka anamaliza shule mpaka anastaafu au anafia hapo hapo.
Ukiona mtu hawachiwi kuondoka na kampuni binafsi elewa kuwa huyo ni mali (asset) muhimu sana.
Mfanyakazi kwenye kampuni binafsi anapimwa kama mali (asset) yoyote ile, kuna "appreciation" na "depreciation". Mali (asset) ikifikia kuwa dhima (liability) haina sababu ya kubaki kwenye kampuni.
Mmh!kwani kuna sehemu nimelalamika kwamba kampuni inanitreat vibaya?Kwa jinsi unavyolalamika wewe ni liability tena la kutupa kabisa.
Hapana, ndoto zako tu.Mmh!kwani kuna sehemu nimelalamika kwamba kampuni inanitreat vibaya?
Watu huwa hawaamini ila wakifika na mambo yakawakuta ndipo huaminiJamaa anapaswa aelewe licha ya dar kuwa na population kubwa ila maisha ni magumu mno! Ushindani wa kibiashara ni mkubwa mno kiasi kwamba hyo hela nsssf inaweza kuisha kabla hajasimama vizuri.
Hata kampunj uchwara haiwezi kaa na liabilities🤣Kwa jinsi unavyolalamika wewe ni liability tena la kutupa kabisa.
kwahiyo kwako wewe mtu competent ni yule anaefikilia kuendelea kuajiliwa kuliko kujiairi akatanua ubongo wake kwa kuwaza nje ya box,hayo nayo ni mawazo ya kimasikini na woga wa maishaHapana, ndoto zako tu.
= kuajiriwa.kwahiyo kwako wewe mtu competent ni yule anaefikilia kuendelea kuajiliwa kuliko kujiairi akatanua ubongo wake kwa kuwaza nje ya box,hayo nayo ni mawazo ya kimasikini na woga wa maisha