The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana 😅😅Ili nipigwe risasi ya Kichwa na mmiliki?
🤣🤣
Asante kwa kunihakikishia usalama wangu,Hapana 😅😅
Hakuna risasi
Muibukie huko PMMimi Kuna mwanamke nampenda Sana huu ila hata haji pm yangu..njoo mummy
Karibu💙Asante kwa kunihakikishia usalama wangu,
Tegemea mgeni muda wowote.
Poa Dada... Za wewe ?Mambo, miss u 🤣
Naanzaje kwanza avatar tu inatisha balaa.Poa Dada... Za wewe ?
Na Mimi uje Kama unavoenda kwa Mgikuru.😛😛
Jamaa anasema yeh ni tall dark Handsome lakini... Si ndio pigo zako au umehama.😛Naanzaje kwanza avatar tu inatisha balaa.
😂 AkaaaJamaa anasema yeh ni tall dark Handsome lakini... Si ndio pigo zako au umehama.😛
Eeeeh Yuda tayari😂 Akaaa
Muibukie huko PM
Ngoja niandae versesMuibukie huko PM
😁😁😁😁Ukichaa huanza hivihivi!
Wanataka kumuharibia uvulana wake kisha wamuharibie maishaWanataka wakuchezee wakuache..
ila unazingua hizo avatar unazoweka😂 😂 😂😂 mwambie atuvumilie maana hakuna namna....daah.ila nimecheka balaa
Huoni raha?Wewe ndio una ni MP kila saa na unataka umzamie na Mwizukulu mgikuru tena huniombagi