Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haa,ashasema yeye ni chibabuKawaita au katuita???
Hao ndio wenyewe sasa, yani unakua kama umepata baba....malezi kama yote, mwizukulu atakua busy kama customer care hata pm hajibu ngoja nilale labda kesho atapata muda wa kujibuHa ha haa,ashasema yeye ni chibabu
Ha ha ha,mi mwenyewe kuna MTU ananisumbua kichwa ndo nijiongezee kichomi kingineHao ndio wenyewe sasa, yani unakua kama umepata baba....malezi kama yote, mwizukulu atakua busy kama customer care hata pm hajibu ngoja nilale labda kesho atapata muda wa kujibu
Akikusumbua kichwa msumbue kifua....🤭Ha ha ha,mi mwenyewe kuna MTU ananisumbua kichwa ndo nijiongezee kichomi kingine
Ndio nimeachia box muda huu,Poa kabisa,saa ngapi huko ? Nataka niotee unafanya nn tym hii
Kila mmoja ataona kama vile kumbe yeye ndio alikua kaachwa nyuma na wenzake Eeh! 🤣🤣Kwa akili za wanawake utashangaa ndo wataanza kujaa PM 😄😄
Kaaah wewe noma kamba kamq MbambaHii tabia inakera sasa kwa siku nafuatwa na wanawake 6 mpaka 10 huku pm, wengi wao wanaomba mahusiano na mimi mwizukulu mgikuru a.k.a babu...nimechoka kutongozwa na akina beesmom.
Sahihi kabisa..😍Kwamba akilewa anayumba?😅
Siamini hilo.
Huyu anakunywa ki-gentleman
Tunajisiliaje tupo nyumbani na geti limefungwa? Tunapigwa na baridiMimi silewi bhana mbona unanipa cheo nisichokua nacho.
Ombi limepita karibuni sana,mjisikie kama mpo nyumbani.
😅😅
Ha ha haa,nikajua unakunywa nikuchori ulizotafuta Leo.Kweli upo makin na maishaMimi silewi bhana mbona unanipa cheo nisichokua nacho.
Ombi limepita karibuni sana,mjisikie kama mpo nyumbani.
😅😅
Sasa bila kugonga kengere nitajuaje kua mpo getini,sukuma geti lipo wazi,zameni mpaka ndani,hao Mbwa wakibweka msiwajali wala hawaumi.Tunajisiliaje tupo nyumbani na geti limefungwa? Tunapigwa na baridi
Tumegonga kengele kimya? Au hakuna umeme hapo kwakoSasa bila kugonga kengere nitajuaje kua mpo getini,sukuma geti lipo wazi,zameni mpaka ndani,hao Mbwa wakibweka msiwajali wala hawaumi.
Umeme upo umejaa mpaka unamwagika.Tumegonga kengele kimya? Au hakuna umeme hapo kwako
Mambo, miss u 🤣Unacheka nn ?
Umbea huo😛😂
Basi karibu kwangu.Umeme upo umejaa mpaka unamwagika.