Nimechoka kufuatwa pm na wanawake wa JamiiForums

Wa ambie waje na kwangu bhana tofauti na hapo ni chai isiyokua na sukari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Iundwe tume ya uchunguzi juu ya tuhuma anazokabiliwa Beesmom ikibainika anataka kutuulia mstaafu wetu achukukiwe hatua...la sivyo ajitokeze kukanusha tuhuma tajwa hapo konani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…