Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Eeeh sisi ndio tunawafukuzia sasaMaandiko yanatimia, sensa imetuponza π
ππ Toka apaEeeeh Yuda tayari
Ha ha ha,kwani wengine wanaweka zipi mkuuila unazingua hizo avatar unazoweka
Nimevumilia nimechoka mkuu, nilipoanzisha thread ndio kama nimejiharibia kabisaUmeshavunja code ya uanaume, unatakiwa kuwa na kifua.
Punga au mpunga mkuu?π€mleta mada utakua punga
Tunakula both lunch and dinner, ye atulie tu happ aendelee kujipima kiwango cha kuepuka vishawishi alichonacho ππHaha...!!
To yeye Depal Darlin Lenie Amehlo Joanah
Ni mmekosa wachumba huku mtaani jamani mpaka msumbue mahensham wa watu piyemu..??
Unacheka au unafurahi jamaaniπacha nicheke tu,ila jf kuna watu jaman