Nimechoka kuhangaika ila akilini mwangu Nina mawazo makubwa!!!!

Nimechoka kuhangaika ila akilini mwangu Nina mawazo makubwa!!!!

Usichoke wala kukata tamaa, aliyechoka yumo kaburini mradi Mungu kakupa uhai,nguvu na akili piga kazi. Jaribu kuzungusha mihogo yako kwa watu wanaofanya kazi madukani,saloon na sehemu nyingine kama hizo
 
Nafikiria kuanzisha clinic au hospitali. Ila sina pesa , nafikiria kuanzisha vijicenters vidogo vya kupika na kuuza mihogo hii ya kukaanga na chachandu ili kuongeza kipato cha kila siku baadae kufanya biashara kubwa !!!!

Zitakazo nipa faida na kuanzisha hospitali
Sasa wanajamiii je kwa hiyo biasha ndogo nitaweza kupata faida itakayoongeza mtaji wakufanya biashara zingine!!!

Naona wanaopika maisha yao ni Yale yale sijui Mimi nitatoka kweli hii biashara ??????

Naombeni mnitie moyo na kunipa mawazo mengine ya kufanya nikuze mtaji na kufikia malengo yangu!!!!
nimevutiwa na hoja yako,naomba tbadilishane mawazo
 
Back
Top Bottom