Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume tafadhali

Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume tafadhali

Umenikumbusha dada mmoja nilimsumbukia 2010 akanichomolea akaja kupewa mimba na njemba moja ikamchomolea kipindi kile najitafuta.. leo hii ni mshangazi ananishobokea amesahau alivyonitenda .. malipo ni hapa hapa duniani.
Mwaka 2009 kuna shetani moja la kike liliniambia hata akivuta hisia za kunipenda haziji kabisa.... na ilikuwa mbele ya watu nje ya Njiro complex, Arusha. Leo hii kikongwe wa miaka 36 hana mwelekeo wowote. Ananishobokea lakini mimi niko bize na kibinti changu cha miaka 51.
 
ni muhimu zaid kuwasaidia hao mabinti ulowaskia wakinung"unika kwa kuchoka kuitwa mishangazi, ili kuepuka vijana wawatu wasitapeliwe na hiyo kitu ya kuitwa honeymoon ambayo si muhimu sana nyakati hizi.

mabinti wengi hudai hawana nafasi kukutana na vijana wenzao wa kiume kwa kujiweka classic, makeup zikianza kugoma kwasabb za umri umesonga ndiyo sasa wanaanza kutia huruma na kukimbulia mafuta ya alizeti yanayoitwa ya upako ili wapate wa kuwaoa 🐒
We nawe kilaza kweli
Makeup mpaka mabibi wanapaka na zinakaa
 
We nawe kilaza kweli
Makeup mpaka mabibi wanapaka na zinakaa
hapana si mimi,
wale mabinti wanaowapaka vibibi make-up ndiyo vilaza my lady.


mabibi na makeup wap na wap sasa na
huku miyama ilivyowashuka namna na kukunjamana mpaka unawaonea huruma dah!
Halafu kama ndiyo Bimkubwa wako sasa aibu unaona wewe dah🤣

tuache kuwachochea na kuwapamba mabibi vitu ambavyo vimewatupa mkono tafadhali, kuna vitu vikikutupa mkono kwa sababu ya umri na kukomaa hata ufanyaje itajulikana tu, ukipaka saa3 asubuh, ikifika saa3 unaonekana kama ngedere 🤣

cheki mwendo sasa dah,
hebu tusaidiane kuwafariji hao waliochoka kukaa upweke, tunapoteza nguvu kazi kwa stress 🐒
 
hapana si mimi,
wale mabinti wanaowapaka vibibi make-up ndiyo vilaza my lady.


mabibi na makeup wap na wap sasa na
huku miyama ilivyowashuka namna na kukunjamana mpaka unawaonea huruma dah!
Halafu kama ndiyo Bimkubwa wako sasa aibu unaona wewe dah🤣

tuache kuwachochea na kuwapamba mabibi vitu ambavyo vimewatupa mkono tafadhali, kuna vitu vikikutupa mkono kwa sababu ya umri na kukomaa hata ufanyaje itajulikana tu, ukipaka saa3 asubuh, ikifika saa3 unaonekana kama ngedere 🤣

cheki mwendo sasa dah,
hebu tusaidiane kuwafariji hao waliochoka kukaa upweke, tunapoteza nguvu kazi kwa stress 🐒
Ndio ujue makeup haina uzee
 
Mwaka 2009 kuna shetani moja la kike liliniambia hata akivuta hisia za kunipenda haziji kabisa.... na ilikuwa mbele ya watu nje ya Njiro complex, Arusha. Leo hii kikongwe wa miaka 36 hana mwelekeo wowote. Ananishobokea lakini mimi niko bize na kibinti changu cha miaka 51.
Tutaamini vipi kama stori inakuhusu
Weka picha na maelezo ulioongea
 
Eh,
Nyie watoto acheni kumsumbua Mungu jamaan

Leo nimekaa kwenye lounge ya ofisi moja mjini, naskia wadada wawili wanaongea kwa kutiana moyo

Maongezi ya mmoja yalikuwa hivi,

"Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume please 🙏 "

Nilitaka kumjibu lakini user yangu ikawa imefika

Wewe ungekuwa Mungu, ungemsaidiaje Mshangazi aliechoka kuitwa Mshangazi?
Aende China arudishe bikra,hatuoi watumishi wa Baltazar
 
makeup si ndiyo ilimdhoofisha muungwana kwenye uzi wako wa honeymoon? 🤣

kumbe alikua bibi?
Honeymoon sijaongelea makeup
Kasome upya
 
Aende China arudishe bikra,hatuoi watumishi wa Baltazar
 
Eh,
Nyie watoto acheni kumsumbua Mungu jamaan

Leo nimekaa kwenye lounge ya ofisi moja mjini, naskia wadada wawili wanaongea kwa kutiana moyo

Maongezi ya mmoja yalikuwa hivi,

"Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume please 🙏 "

Nilitaka kumjibu lakini user yangu ikawa imefika

Wewe ungekuwa Mungu, ungemsaidiaje Mshangazi aliechoka kuitwa Mshangazi?
Ningemuuliza kwanza alikua wapi siku zote mpaka kufikia umri wa kuitwa mshangazi??
 
Eh,
Nyie watoto acheni kumsumbua Mungu jamaan

Leo nimekaa kwenye lounge ya ofisi moja mjini, naskia wadada wawili wanaongea kwa kutiana moyo

Maongezi ya mmoja yalikuwa hivi,

"Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume please 🙏 "

Nilitaka kumjibu lakini user yangu ikawa imefika

Wewe ungekuwa Mungu, ungemsaidiaje Mshangazi aliechoka kuitwa Mshangazi?
tako lipo sio unajaza server tu.
 
Upweke sio shida
Shida kuitwa MSHANGAZI
WOI
Umejuaje upweke sio shida?? Au huyo mdada unamjua vizuri yaani ni wewe??
Anyway, ukiitwa mshangazi umri unaenda na wanaume hawasomeki sababu hawakuelewi elewi jifanye umeokoka..

Utaratibu ni: Ukiachws, okoka.
Ukikosa mwanaume okoka, ndio kimbilio la wsdada wengi.
 
Honeymoon sijaongelea makeup
Kasome upya
vigodoro navyo dah,
vinawakatisha sana tamaa vijana wakiona uhalisia wakiwa ndani ya ndoa dah 🐒
 
Umejuaje upweke sio shida?? Au huyo mdada unamjua vizuri yaani ni wewe??
Anyway, ukiitwa mshangazi umri unaenda na wanaume hawasomeki sababu hawakuelewi elewi jifanye umeokoka..

Utaratibu ni: Ukiachws, okoka.
Ukikosa mwanaume okoka, ndio kimbilio la wsdada wengi.
Tangu 2016 naandika habari za watu leo iwe mimi, inakuingia akilini kweli we wazimu?
 
My lady Money Penny nakupenda sana, nakuheshimu zaidi.

niko bize mno, nina hakika uko bize sana pia.

ninawiwa kukutana nawe japo sio muhimu kwa sababu za kiusalama na kazi.

Yafaa basi,
kuwasaidia na kuwahurumia wanao teseka kupata wachumba wa uhakika.

Mungu akubariki sana Lady 🐒
 
My lady Money Penny nakupenda sana, nakuheshimu zaidi.

niko bize mno, nina hakika uko bize sana pia.

ninawiwa kukutana nawe japo sio muhimu kwa sababu za kiusalama na kazi.

Yafaa basi,
kuwasaidia na kuwahurumia wanao teseka kupata wachumba wa uhakika.

Mungu akubariki sana Lady 🐒
Amina
Namba yangu ya simu njoo inbox nikupe tuongee whatsapp
 
Back
Top Bottom