Nimechoka kulalia godoro chini

Pole sana. Ila kama ni kweli ndo hali uliyo nayo napenda kukumbusha kuwa matatizo yako yanachangiwa na ujinga wako mwenyewe. Kipato duni unakimbilia kuoa ili ugundue nini? JINGA SANA. Cha muhimu pambana sana kwasababu hiyo hali ikiendelea lazima huyo mwanamke akuache au atafute mtu mwenye kitanda kizuri.
 
We mwamba. Tutatusua tu man.
 
Mtoa mada umejichanganya mambo yafuatayo.
1. Ulipaswa kununua kitanda na godoro kabla ya kuoa Kwa sababu baada ya kuoa mambo yanakuwaga mengi.
2. Tamaa ya kutereza. Ulitanguliza tamaa ya kugegeda badala ya kujipanga kwanza mwisho wa siku unakuja kulia lia hapa jukwaani.
 
Zipo nchi nyingi sana ambazo watu wake hawatumii vitanda wala makochi, wao hulala chini na hukalia mikeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…