MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Mimi pia nimelala chini zaidi ya mwaka. Sio kwa kukosa kitanda ila kupenda. Na huwa napenda kuweka godoro chini na kulala. Kitanda kwangu sio kitu cha muhimuNimechoka kulala juu na tamani nilale chini hata mwezi mmoja
Nakaziabora wewe unalala chini, wengine tunalala tumesimama na ukuta ndio maana mda mwingi tupo humu kuchat usiku usogee hasa ukuta ukishakuwa wa baridi.
Nakazilia mkazio 😂Nakazia
We mwamba. Tutatusua tu man.Mkuu!
Niliishawahi kupitia msoto kama huu miaka kitambo! Maisha yalisimama kabisa nikawa sisogei! Kana kwamba kuna mtu alipiga mstari nisivuke hapa! Kana kwamba kuna roho fulani siioni inayozuia nisipige hatua! Nikipata hela majanga yanaibuka na kunirudisha palepale (square one)!
Nikausoma mchezo kwa kutumia uzoefu, nikakomaa na kuwa ng'ang'ari mpaka nikatoboa! Ndio siri ya hii nickname "no retreat no surrender". Kwahiyo mkuu komaa jitathmini wapi unakwama! Wakati mwingine kuwa mbishi na usiendekeze huruma kwa mambo yasiyo na manufaa ya kukupotezea muda na hela!
Life gumu balaa, basi tu tushazoea shida tunakomaa hivyo hivyoNakazilia mkazio 😂
Life gumu sana nje ya jf
Kikubwa dua na kuendeleza mapambano bila kuchokaLife gumu balaa, basi tu tushazoea shida tunakomaa hivyo hivyo
🤣🤣🤣😆🤣🤣🤣🤣! Watu tunatoka mbali! Jamaa kanikumbusha mbali sana!
Zipo nchi nyingi sana ambazo watu wake hawatumii vitanda wala makochi, wao hulala chini na hukalia mikeka.Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio
Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia
Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda
Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha nitalala juu ya kitanda hapa nina 35 elfu ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa.
Hii kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,
Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru Mungu tuko poa
Yaani ningekua mm hata wazo la kuoa lisingekuwepo,,,, sitaki mtu yeyote ajue nalala chinAsa ukaoa faster ili iweje!??
Kuna style hutapiga...Chini ni pazuri kwa shoo shoo.
Ngoja tuone..Tuanzie hapo kwanza 🤒
Kwake ni hivyo, kwa sababu ana nia ya kulala juu ya kitanda, ila anashindwa kukifikia.Kuweka godoro chini ni umaskini?...badili mentality hiyo maana utaanza kununua unnecessary things