Nimechoka kulalia godoro chini

Nimechoka kulalia godoro chini

Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio

Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia

Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda

Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha nitalala juu ya kitanda hapa nina 35 elfu ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa.

Hii kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,

Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru Mungu tuko poa
nakupa Kitanda kwa bei io cha mbao (elf 35)
 
Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio

Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia

Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda

Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha nitalala juu ya kitanda hapa nina 35 elfu ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa.

Hii kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,

Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru Mungu tuko poa
Tamaduni ya Korea na wachina ni kulala chini ht iwe hotelini, kwann wew ujiite maskini mkuu,

Acha kujidharau
 
Pana nyumba unaweza kuwa na godoro chini bila kitanda kwa ajili ya kunyoosha mgongo na unalala vizuri sana ila kwa kuwa hauna kitanda unadhani kuwa na kitanda ni kitu cha muhimu sana kumbe hamna kitu...
 
Hali inaweza kuwa ngum,sawa Ila inabidi uangalie vipao mbele vyako km utaona kipaombele chako kwa Sasa ni kitanda sawa,Ila usije ukaa miezi mitatu ukasema mke wangu hai enjoy inabidi ninunue tv😆,mwisho wa siku vipaombele vyako vitakuwa vya kipimbi Sana,siku zote muweke chini wife msomeshe Hali halisi na vipao mbele vyako,kwani mtapanga milele? Tafuteni kiwanja hata vikindu huko km hamna kulala chini sio dhambi
 
Back
Top Bottom