ushawahi lala godoro chini?Hujui kulala chini ni nzuri kwa afya yako ya mgongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushawahi lala godoro chini?Hujui kulala chini ni nzuri kwa afya yako ya mgongo
Nimecheka hatari.Wewe ni mwana JF wa kwanza kulala chini, wote humu tunalala ghorofani.
Kama umeoa doggy itakuwa ya tabu kama kitanda hakuna!Wajapani wengi hulala chini, weka carpet lako zuri, weka godoro, subwoofer pembeni raha kweli.
Mkuu Kama ni kweli ndugu yangu, Tafuta chumba Hata Cha 30k.bora wewe unalala chini, wengine tunalala tumesimama na ukuta ndio maana mda mwingi tupo humu kuchat usiku usogee hasa ukuta ukishakuwa wa baridi.
Nitoe Mimi mkuu, nalala nje Sina Hata shuka🤒Wewe ni mwana JF wa kwanza kulala chini, wote humu tunalala ghorofani.
nakupa Kitanda kwa bei io cha mbao (elf 35)Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio
Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia
Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda
Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha nitalala juu ya kitanda hapa nina 35 elfu ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa.
Hii kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,
Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru Mungu tuko poa
Nakushauri ukifungue ulale chini ili uone muziki wake!Wakati mimi nimechoka kulala kwenye kitanda nataka nikifungue nilale chini
Tamaduni ya Korea na wachina ni kulala chini ht iwe hotelini, kwann wew ujiite maskini mkuu,Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio
Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia
Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda
Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha nitalala juu ya kitanda hapa nina 35 elfu ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa.
Hii kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,
Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru Mungu tuko poa
Sasa kwani nna masikhara? We mwenyewe kula yako tabu alafu unatoa 30K ya chumba kwani sina chumba?Mkuu Kama ni kweli ndugu yangu, Tafuta chumba Hata Cha 30k.
👉Nita kulipia nusu albino Half american 🙏
Don't take jf serious, niki kuambia sijala sio kwamba Sina pesa ya kula.Sasa kwani nna masikhara? We mwenyewe kula yako tabu alafu unatoa 30K ya chumba kwani sina chumba?
naelewa ila mimi nalala nimesimama 😂Don't take jf serious, niki kuambia sijala sio kwamba Sina pesa ya kula.
👉Wanao nijua personal, Wana nielwaga zaidi
Tuko wengi, kichwa kina Waka Moto.naelewa ila mimi nalala nimesimama 😂
Zanini hizo na kusoma sijui?Tuko wengi, kichwa kina Waka Moto.
👉Au une shika PC mkononi, au kitabu Cha pd au novel tu🤗😂🤣
Za kuuzia ukwaju wa mayai😂🤣Zanini hizo na kusoma sijui?
😂Za kuuzia ukwaju wa mayai😂🤣