raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Oyaa bruh kule imekuaje tena 🤣😂😄Tuko wengi, kichwa kina Waka Moto.
👉Au une shika PC mkononi, au kitabu Cha pd au novel tu🤗😂🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaa bruh kule imekuaje tena 🤣😂😄Tuko wengi, kichwa kina Waka Moto.
👉Au une shika PC mkononi, au kitabu Cha pd au novel tu🤗😂🤣
Kumbe. Sikuwa nalijua hili.Na inashauriwa kufanya hivyo angalau mwezi mmoja ndani ya Mwaka
Ndege wafananao huruka pamoja; ndio maana ameshindwa kumshauri namna ya kupata godoroHalafu mkikaa mnasema wanawake wa kileo wanapenda wanaume ambao wameshajipata.
Huyu wa mleta uzi katokea wapi?
Dah 😂
Hahahaaa. Sitaki kuamini Mkuu.Ndege wafananao huruka pamoja; ndio maana ameshindwa kumshauri namna ya kupata godoro
Sasa matatizo yako ya kukosa kitanda unatuambia sisi ili iweje?Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio
Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia
Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda
Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha nitalala juu ya kitanda hapa nina 35 elfu ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa.
Hii kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,
Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru Mungu tuko poa
Hivi mtu una dhiki hivyo mnakimbiliaga kuoa yanini? Usikute hapo una watoto wawili!! Mindset ya mwafrika ni kama mnyama tu!Maisha haya yasikie tu kwa mwenzio
Muda mwingine tunajitahidi kupanga malengo na kuyapambanua yatimie tukipiga hatua 3 mbele tunavutwa na kurudishwa hatua 6 nyuma na matatizo yasiyo epukia
Nimeshalala sana chini na wife mwaka unaenda kukata Sasa bila ya kitanda
Naweka Nia mpaka mwezi huu unaisha nitalala juu ya kitanda hapa nina 35 elfu ngoja nianze kununua mbao niwe naweka mpaka zikienea napeleka kwa fundi sofa.
Hii kazi yangu kwa mwezi inaniingizia angalau si chini ya laki 2 ukitoa 80 ya Kodi ya ofisi na nyumbani,
Shida matatizo yananisonga japo kiafya tunamshukuru Mungu tuko poa
Sasa mtu ambaye hakupi changamoto ya maisha ni wanini; kuishi na mwanamke si kwa ajili ya tendo tu, kuna mambo mengine yakimaisha kama haya.Hahahaaa. Sitaki kuamini Mkuu.
Uzi ume rip 😂😁😁😁😁Oyaa bruh kule imekuaje tena 🤣😂😄
Si ndio jamaa kasema kipato chake ni kidogo huku shida na matatizo vikimuandama.Sasa mtu ambaye hakupi changamoto ya maisha ni wanini; kuishi na mwanamke si kwa ajili ya tendo tu, kuna mambo mengine yakimaisha kama haya.
Amwambie hata hiyo elfu 35, wakaange mihogo wauze ili kuongeza kipatoSi ndio jamaa kasema kipato chake ni kidogo huku shida na matatizo vikimuandama.
Sasa hapo huyo Mke atampa jamaa changamoto gani Mkuu sababu sana sana akizidi si ajabu akamshawishi jamaa kuingia kwenye kazi za haramu.
Hili nalo neno Mkuu. Natumai mleta uzi atalifanyia kazi.Amwambie hata hiyo elfu 35, wakaange mihogo wauze ili kuongeza kipato
Ungekuwa wewe ndio mke wake, ungesema una faida gani kwake?Hili nalo neno Mkuu. Natumai mleta uzi atalifanyia kazi.
Japo usisahau si watu wote wanaeza biashara wengine wapo kuwa wateja tu.
We utakuwa msoja mkuubora wewe unalala chini, wengine tunalala tumesimama na ukuta ndio maana mda mwingi tupo humu kuchat usiku usogee hasa ukuta ukishakuwa wa baridi.