Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mpe onyo kali mkeo, muambie wazi kuwa hii sio guest houseHellow africa
Dah ninaish na wife uhuu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauk hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu uwez kuweka akiba yako juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo juma pili huwa tunakawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban
Nitawafukuza soon
Af ukimwambia ananunampe onyo kali mkeo, muambie wazi kuwa hii sio guest house
Siachi kirobotoAcha roho mbayaaa kunguni
Nataman niwanywee pombeUkiona hivyo ujue kwako una maisha mazuri kuliko kwa mkeo,hao wanasimuliana raha za kwako wakiondoka kwahiyo watazidi kuja tena na tena. Kama hawajitambui kazi unayo.
ππ embu lala bcHatimae mtoto nae ana mtoto
Naunga Mkono hoja. Hawa Ndugu wanajifanya wanakufahamu wakati wa amani. Ukipitia changamoto za kiuchumi kidogo, hutawaona Tena . Na watakuwa wa kwanza kusema ulikuwa huweki akibampe onyo kali mkeo, muambie wazi kuwa hii sio guest house
eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban[emoji23]Hellow africa
Dah ninaish na wife uhuu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauk hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu uwez kuweka akiba yako juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo juma pili huwa tunakawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban
ππππ ngoja nifuge aseFuga mbwa,hakikisha hao mbwa hawazoeani na wageni
Wambie wakuwekee akiba waoNaunga Mkono hoja. Hawa Ndugu wanajifanya wanakufahamu wakati wa amani. Ukipitia changamoto za kiuchumi kidogo, hutawaona Tena . Na watakuwa wa kwanza kusema ulikuwa huweki akiba
Ishi kutokana na Bajeti na Utaratibu uliojiwekea.ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu uwez kuweka akiba yako
Kaka uamini iv mgonjwa wa vidonda vya tumbo anakula ukoko?eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban[emoji23]