cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatimae mtoto nae ana mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatimae mtoto nae ana mtoto
🤣🤣🤣Pole ni umaskin tu,penye rizki hapakosi wageni daily labda uwe mchoyo🤣🤣wameona kwako Kuna kaunafuu wa maisha ,pangekuwa pakavu usingewaona.Hellow africa
Dah ninaish na wife uhuu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauk hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu uwez kuweka akiba yako juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo juma pili huwa tunakawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban
Wavutie bhange kisha uliamshe hawtakuja tenaNataman niwanywee pombe
Mm napenda kula vzr 😂😂Nunua gunia la mahindi na maharage weka ndani,
Nunua magogo magumu weka hapo nje na shoka kali
Wakija wapasue kuni halafu ni ugali maharage kila siku, wataondoka wenyewe
Kama umeokoka hayo yote huwezi fanyaHakikisha hapo kwako kuna kazi za kutosha kama kuosha mabanda ya mifugo,kukata nyasi za mifugo,tafuta mashamba huko nje ya mji uwe unawapeleka kulima na kupanda
Okoka na muwe mnasali karibia masaa mawili kabla ya kwenda kulala,tv weka chumban kwako,sebuleni liwepo sabufa la kupiga nyimbo za injili tu
Ukishindwa kabisa hayo yote,anza kuwala ndugu za mkeo kwa siri,ili ufaidi chakula chako
Fanya yote hayo afu unipe mrejesho
Dah yaani mtu unashindwa ata pika chips mkala na familiaAkitoka huyo watakuja baba mkwe na mama mkwe kupumzika....baada ya hapo mashemeji.... Watakula unacho kula.
Naunga Mkono hoja. Hawa Ndugu wanajifanya wanakufahamu wakati wa amani. Ukipitia changamoto za kiuchumi kidogo, hutawaona Tena . Na watakuwa wa kwanza kusema ulikuwa huweki akiba
😅😅😅😅Yap,hatiwaona hata mmoja hata simu zao hatozipata,be careful na black people
Sio kweli hata mwanaume ananufaikaAnayenufaika na ndoa huwa ni mwanamke , ndugu zake wataendelea kujazana hapo , ila ndugu yako ww akija hapo akae wiki tuu au mwez , akirudi atasimulia , wanawake karbia wote wana roho mbaya mno kwa ndugu za mme, na hii wapo hvyo
😂 mtoto wa utotoni alafu wamwisho😂😂 embu lala bc
Ale huko njiani kabla ya kurudi nyumbani...watoto wasubirie upenyo.....sasa kama ndo ndugu pekee alopata mume mjini tena mwenye mafanikio ndugu watafanyaje? Acha waponeDah yaani mtu unashindwa ata pika chips mkala na familia
Wageni ni baraka ila kuna mtu mmoja mwenye hekima aliwahi kusemaHellow africa
Dah ninaish na wife uhuu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauk hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu uwez kuweka akiba yako juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo juma pili huwa tunakawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban