Nimechoka kupokea wageni

Nimechoka kupokea wageni

Hellow africa

Dah ninaish na wife uhuu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauk hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu uwez kuweka akiba yako juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo juma pili huwa tunakawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban
Kuna ka mserereko flani wanapata wakiwa kwako ...... na hii inatokana ma maisha duni kwa upande wa mkeo ...Dah... usipo fanya mamuzi ya kiume kazi unayo
 
Hellow africa

Dah ninaish na wife uhuu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauk hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu uwez kuweka akiba yako juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo juma pili huwa tunakawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban
Wapende wageni, hao ndio baraka kwako hujui tu, Maisha hayo nilipitia sana home, kauli ya mzee usimzarau usie mjua, wageni ni baraka, nyie watoto mtasemaje, ndo tulifundishwa kupenda watu.
 
Wageni ni baraka ila kuna mtu mmoja mwenye hekima aliwahi kusema

"Afrika umaskini hautoisha kwa sababu maskini wanaoa maskini wenzao "
Na tajiri wanaoa tajiri wenzao🙏 suala la uwezo wa kiuchumi ni la muhimu sana katika kutafuta mwenza wa maisha ,watu hawajui tu,wanachukulia kiwepesi na kuona mostly wanawake kuwa gold diggers,ila suala la financial independency linamatter sana.
 
Hellow africa

Dah ninaish na wife uhuu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauk hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu uwez kuweka akiba yako juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo juma pili huwa tunakawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban
Roho hiyo utakua masikini mbaya sana,
 
Hakikisha hapo kwako kuna kazi za kutosha kama kuosha mabanda ya mifugo,kukata nyasi za mifugo,tafuta mashamba huko nje ya mji uwe unawapeleka kulima na kupanda

Okoka na muwe mnasali karibia masaa mawili kabla ya kwenda kulala iwe kila siku na lazima kila mtu awepo wakati wa kusali hata kama ni mgonjwa,tv weka chumban kwako,sebuleni liwepo sabufa la kupiga nyimbo za injili tu

Ukishindwa kabisa hayo yote,anza kuwala ndugu za mkeo kwa siri,ili ufaidi chakula chako

Fanya yote hayo afu unipe mrejesho
🤣🤣Atawakimbiza wote
 
Hellow africa

Dah ninaish na wife uhuu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauk hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu uwez kuweka akiba yako juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo juma pili huwa tunakawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban
Nakushauri, tafuta wimbo wa Marehemu Mbaraka Mwishehe MWARUKA"CHOYO UACHE" utakusaidia saana.
 
😂😂😂😂 ngoja nifuge ase
Inawezekana umenzisha uzi wa kufurahisha kijiwe, lakini hili ni tatizo lililopo hasa uswazi. Nilikuwa nasikia haya kutoka kwa watu lakini likaja kunikuta. Na kama halijakukuta unaweza kudhani ni rahisi sana kulitatua kumbe hapana.... hasa kama una mke mwenye kichwa fyongo.
 
Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Hii ndio Africa ndio utamaduni inaonesha kbsaa kwako maisha safi kuliko Kwa shemeji yetu usipoangalia watazidi kuja
 
Back
Top Bottom