Ayos
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 981
- 2,454
Mtoto kazidiwa maarifa na nikwao na anajua makoko ni haki yake sasa atafanyaje😀eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto kazidiwa maarifa na nikwao na anajua makoko ni haki yake sasa atafanyaje😀eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumban[emoji23]
Kwa bajeti ya vyakula vilivyo panda unaweza ukawa chizi kama huna kipato Cha ziada!Acha roho mbayaaa kunguni
Nitawazibia njiaHii ndio Africa ndio utamaduni inaonesha kbsaa kwako maisha safi kuliko Kwa shemeji yetu usipoangalia watazidi kuja
Ugomvi hauta ishaInawezekana umenzisha uzi wa kufurahisha kijiwe, lakini hili ni tatizo lililopo hasa uswazi. Nilikuwa nasikia haya kutoka kwa watu lakini likaja kunikuta. Na kama halijakukuta unaweza kudhani ni rahisi sana kulitatua kumbe hapana.... hasa kama una mke mwenye kichwa fyongo.
Bakini huko huko Mpitimbi kwenu
Nchi ngumu Sana hiiHellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
You stole my words.Kuna wengine watakunafkia hapa kujifanya wema sana ila kiukhalisia kwenye familia zao hata mgeni hakanyagi..!!
Ishi kulingana na budget iliyo ndani ya uwezo wako usitumie nguvu kubwa sana kuwafurahisha watu huku unateseka (mshumaa),
Habari mbaya ni kuwa at the end of the day baada ya kuwa hu-save wala kufanya maendeleo yoyote wewe ndiye utaonekana looser, hakuna mtu atakumbuka kile uli sacrifice kwa ajili yao..!! Shauri yako..!!
Mac Alpho
Wew wasema ikukute usichukulie pw pesa akun siku izwe jamaa bana., perheps tuna perspective tofauti lakini , ndugu ni baraka. Pengine Lizki yao ipo kwako. the moment wanakata nayo inakata.... wafurahie tu.
Ha haa umenikumbusha kaka (cousin) yangu mmoja aliwafanyia hivyo shemegi zake.Nataman niwanywee pombe
Kwa hyo atakuwa kaoa mke au ndugu wote wa mke?kiujumla siwez kukaa kwa ndugu siku mbili kama hakuna kitu Cha msingi kimenipelekaWageni baraka binafsi sipendi watu wa binafsi wacha waje
Huna pesa usioe
Wagenii hatukatai tuelewane mgeni aje na purpose mgeni anajaaa miez 3 kwerieAcha ubinafsi hata wewe ulisaidiwa ukafika hapo
UKweni wapi?Hellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.