Nimechoka kupokea wageni

Nimechoka kupokea wageni

Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Fanya vituko wakija nenda kalewe ukirud watukane wafanyie machukizo na makasiriko πŸ˜€πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£

Loanisha magodoro....ikiwezekana leta kunguni hapo home kwako... 🏠
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
Hakikishia budget ya misosi inakua ndogo....na mlo uwe wa tochi.....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£

TUMIA ZILE MBINU ZA AKUFUKIZAE HAKWAMBII TOKA....

#ASAP
Rudi uje utupe mrejesho πŸ™‚πŸ˜Š
 
Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Tabia ya ndugu wa kibongo kuja kujazana nyumbani kwa ndugu yao huwa siipendi kwakweli.. kila mtu akae kwake tujifunze kujitegemea.. umaskini ni endless cycle
 
Kukiwa na kamserereko lazima waje tu.

Nakumbuka babu yangu ilikua mgeni ni siku moja tu hasa wale rika yetu enzi hizo.

Baada ya hapo kazi hazikauki, kwa sisi wa palepale tulishazoea hizo kazi ila wageni ni full lawama. Ni kazikaz.

Akiondoka hapo, kurudi ni majaliwa ni simu tu
 
Hakikisha hapo kwako kuna kazi za kutosha kama kuosha mabanda ya mifugo,kukata nyasi za mifugo,tafuta mashamba huko nje ya mji uwe unawapeleka kulima na kupanda

Okoka na muwe mnasali karibia masaa mawili kabla ya kwenda kulala iwe kila siku na lazima kila mtu awepo wakati wa kusali hata kama ni mgonjwa,tv weka chumban kwako,sebuleni liwepo sabufa la kupiga nyimbo za injili tu

Ukishindwa kabisa hayo yote,anza kuwala ndugu za mkeo kwa siri,ili ufaidi chakula chako

Fanya yote hayo afu unipe mrejesho
Dahh, watu wa Jf kibokoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom