Nimechoka kupokea wageni

Nimechoka kupokea wageni

Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Nataka kujenga servant quarter kwaajili ya wageni vyumba viwili wa kike na kiume mbona itakuwa ndio lodge sasa.
Watahamia kabisa
 
Hellow Africa

Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.

Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Muambie mkeo hutaki wageni, sisi hatuwezi kukusaidia hapa.
 
Kuna mmoja alienda Kwa ndugu yake kusalimia jamaa akakuta jamaa kaandaa kuku na mamisosi kibao kwaajili yake . Ndugu Wacha ale kivumbi ni alipo fika kijijini [emoji1787][emoji1787] akaanza kuwahadithia watu kwamba jamaa huku mjini anachezea na vyakula na asipokuwa makini hatajenga
 
Ishi kutokana na Bajeti na Utaratibu uliojiwekea.

Ndio maana wazee wetu walikuwa na Miradi kama Mashamba, Mifugo, Bustani nk. Ilikuwa ndugu wakifika kwake basi baada ya siku mbili tu, anawageuza wafanyakazi wa miradi yake. Na kutokana na Uvivu wengi waliondoka mapema sana na taarifa wakapeana.

Be a Man, Stay Taliban.
Kutembelea ndugu ni jambo jema sana

Ila watu wavivu wanapenda sana kutembea tembea.
 
Kuna mmoja alienda Kwa ndugu yake kusalimia jamaa akakuta jamaa kaandaa kuku na mamisosi kibao kwaajili yake . Ndugu Wacha ale kivumbi ni alipo fika kijijini [emoji1787][emoji1787] akaanza kuwahadithia watu kwamba jamaa huku mjini anachezea na vyakula na asipokuwa makini hatajenga
😅😅😅
 
Back
Top Bottom