Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Tanzania na extended family inatesa wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka kujenga servant quarter kwaajili ya wageni vyumba viwili wa kike na kiume mbona itakuwa ndio lodge sasa.Hellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
😂😂😂 utaki nisiombeHaahaa .soon naamini utaomba hela ya pombe humu humu.🤣🤚
Sasa mgonjwa wa vidonda vya tumbo na ukoko wapi na wapi?Acha uchoyo..... Yaani Baba wa familia unawaza Mambo ya ukoko wa pilau... Shame on You.
Usimtishe sana basi 😅😅Vijana mtakufa siku si zenu ohoo😂
Me simtishi nakwambia ukweli ati😂Usimtishe sana basi 😅😅
Dogo hata miaka 20 hajafikisha, ataogopa kuingia tena humu 😅😅😅Me simtishi nakwambia ukweli ati😂
Asijesema hatukumwambia
Kwanza anatakiwa awe anajisomea saivi, likizo si zimeisha.Dogo hata miaka 20 hajafikisha, ataogopa kuingia tena humu 😅😅😅
Unaweza kuta anatumia simu ya broh wake kuchatia humu. Madogo wanasikiliza singeli mida ya kufanya home work 😅😅Kwanza anatakiwa awe anajisomea saivi, likizo si zimeisha.
Anafanya nini huku usiku huu na ni denti
Bro wake kasinzia, akaiba simu😂Unaweza kuta anatumia simu ya broh wake kuchatia humu. Madogo wanasikiliza singeli mida ya kufanya home work 😅😅
We huoni wakiingia online wanapost post were, alaf baada ya muda wanapotea? 😅😅😅Bro wake kasinzia, akaiba simu😂
Au kwavile kesho holiday, so kapewa ruhusa ya kuchezea simu leo🤣
Muambie mkeo hutaki wageni, sisi hatuwezi kukusaidia hapa.Hellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Vya kuazima ndio shida zake hizo😂We huoni wakiingia online wanapost post were, alaf baada ya muda wanapotea? 😅😅😅
Kutembelea ndugu ni jambo jema sanaIshi kutokana na Bajeti na Utaratibu uliojiwekea.
Ndio maana wazee wetu walikuwa na Miradi kama Mashamba, Mifugo, Bustani nk. Ilikuwa ndugu wakifika kwake basi baada ya siku mbili tu, anawageuza wafanyakazi wa miradi yake. Na kutokana na Uvivu wengi waliondoka mapema sana na taarifa wakapeana.
Be a Man, Stay Taliban.
😅😅😅Kuna mmoja alienda Kwa ndugu yake kusalimia jamaa akakuta jamaa kaandaa kuku na mamisosi kibao kwaajili yake . Ndugu Wacha ale kivumbi ni alipo fika kijijini [emoji1787][emoji1787] akaanza kuwahadithia watu kwamba jamaa huku mjini anachezea na vyakula na asipokuwa makini hatajenga
Mwenye simu kachukua simu yake 😅😅Vya kuazima ndio shida zake hizo😂
Kama saivi hayupo, atarudi tena kesho hiyo
Acha uchoyo, Ki Afrika wageni ni baraka