Hapo ndio mnadanganywa Ngekewa ni aina ya mvuto unakua nao, unakumbuka mwenda zake alivyobadili upepo kipndi kile cha uchaguzi??? Na si kila dawa inahitaji damu ya mtu wako... Kwenye madini bila ndumba utaishia kuwasindikiza kina nyanda madirishaNilivyosikia mimi ukianza kutoa, itabidi uwe unatoa,
Kuna pahala nilisikia kuwa kuna hiyo dawa moja inaitwa NGEKEWA hii kila utakachogusa ni hela tu ila sasa kila mwaka inakula mtu mmoja, inachagua yenyewe wewe utashangaa mtu kadondoka mara mzazi, rafiki, ndugu, mfanyakazi
I bet jamaa wanakuingiza mjini.Labda Elution, maana hao nao hawaaminiki
Mkuu kama unahisi unajua, nikwambie tu bado, kuna theory na practical si ndo mnasema hivyo kitaalam.Milioni 40 ungewekeza kwenye biashara nyingine saa hii ungekuwa unahesabu faida ya ya laki tatu au nne kwa siku.
Hizi biashara hazifanywi kwa kubeti zinataka utaalamu mzuri wa miamba ambao utaweza kukuonyesha mahala madini yalipo. Vifaa vya kisasa vipo na vinakusaidia kuona madini yalipo. Nadhani unatakiwa kujipanga upya kwenye hii kazi.
Hata Mungu alimtoa mwanae wa pekee ili kukomboa ulimwengu, Habrahamu alimtoa Isaka km sadaka.
Sikia huwezi kupata ukitakacho km huwezi kutoa sadaka kubwa.
Pole Sana bro km nakuona vile ulivyokata tamaaa, kwa ufupi tu Mtangulize Mungu kwanza ndo uje ufanye maamuziWanajamvi
Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni
Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya,
Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika shughuli hii.
Huwa nnajitahidi kupima miamba kila hatua kama inavyoshauriwa lkn matokeo mara zote huwa kinyume na matarajio,
Mfano unaweza kupima mwamba ukaambiwa ni wastani wa ppm 8 lkn unachokuja kukipata ni wastani wa ppm 1
Wadau wengi hawataki kutoa siri ya wapi wanapitia ili kuhakikisha kile wanachotakiwa kukipata wanakipata,
Tafadhali sana, mwenye kujua namna nnaweza kupata msaada wa kweli tafadhali msaada hapo PM
Mkuu nishafilisika sina chochote sasa hivi, ila niliambiwa kama hayo unayoambiwa na wadau kua bila uchawi hutoboi na nikweli.Uliwezaje kukaa sawa mkuu au nije PM?
basi sali na kumwomba Mungu kwa nguvu zako zote,akili zako zote na uamini utaona matokeo yake....ndagu zina mashariti ya kiduwanzi sana kiasi inakua kama mtego ukosee unase uanze rasmi kuwa mtumwa!waganga wa hovyo sana,ogopa!Nimeamua kuwa moto sasa nnafanyaje?
Hapana mkuu, nikiwa nimejilaza chini ya mti, pembeni ya mto
RunzeweWako wapi hao mkuu?
Kweli mkuuSi ndio sasa tugawiane hizi neema za kuifikia njia panda ya mafanikio, miaka yote unafanya kazi uko vilevile tu wanakuja watoto kutoka upareni huko wamejikoki sawasawa unawafundisha kazi, miaka miwili tu wamekupiga gepu parefu mno.......nipe maelekezo aisee
Sema nini mkuu, bado hujaijua dunia, tembea uyaoneWaganga wangekuwa na uwezo wa kuwafanikishia mafanikio huko migoni nafikiri hata wao wangeongoza kwa kuchimba madini na Kuwa mabilionea, eti unataka umfuate mganga umlipe laki mbili au tatu alafu yeye akufanikishie kupata dhahabu ya Milioni 200 kweli?
Hivi mnafikiri vizuri kweli
Mganga ni wakala tu anaeyeunganisha mtu na kampuni ya kishetani ata yeye akitaka utajiri atafuata masharti hayo hayo mbona waganga matajiri wapoWaganga wangekuwa wanajua dhahabu ilipo, wangekuwa wameshatajirika.
reserve ipo kiwango gani kama una taarifaUnatumia njia gani kupima natural au artificial ??je unatumia wataalamu
Binafsi nakushauri mkuu jitahidi kufanya kazi na wataalamu na kuna kamashine kanauzwa milioni 10 nako hutumika kudetect madini aina mbali mbali.Tembea depertment za UDSM na UDOM utawapa wataalamu wa kutosha au nenda GST.
Chunya kuna reserve kubwa sana ya dhahabu so jitahid ufanye kisasa boss
Binafsi nasomea mineral exploration and mining geology.Namaliza mwakani
Kwani mganga yeye hahitaji Mali wala utajiri?Sema nini mkuu, bado hujaijua dunia, tembea uyaone