Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh aisee, wewe ni mchimbaji kweli?Mkuu kuchoronga kwa elfu 50 si unapata hela ya kula tu, hizo njia zote utapata hela ya kula lakini kusema kwamba utapata hela ya maana ukirudi nyumbani watoto waseme baba karudi sio rahisi
Tupeni mbinu mnazotumia kutoboa na sisi tutoke
Kama mwamba upo na unasoma ila pia Kuna Wakati huwa ukamua dhahabu kwa nini kuwa na hyo shida kama huchanganyi material yako na cjui hyo ppm yako huwa inasoma chini Wakati gani, yaani ni Wakati ukiwa unaendeleaje na kazi ama ukitoka kuloweleka yaani hyo ppm ya moja au 2 huwa inatokea wapi ni duarani au baada ya kazi na je kadri unavyozidi kwenda chini ndo inashuka ppm auMkuu ni zaidi ya miaka 3, kuna kitu hakipo sawa, mtusaidie mnapoenda na sisi tujilinde
Zile gram unazopata baada ya kutoka elution, unalinganisha na mzigo uliopelela plantKama mwamba upo na unasoma ila pia Kuna Wakati huwa ukamua dhahabu kwa nini kuwa na hyo shida kama huchanganyi material yako na cjui hyo ppm yako huwa inasoma chini Wakati gani, yaani ni Wakati ukiwa unaendeleaje na kazi ama ukitoka kuloweleka yaani hyo ppm ya moja au 2 huwa inatokea wapi ni duarani au baada ya kazi na je kadri unavyozidi kwenda chini ndo inashuka ppm au
Lakini pia mkuu Kuna malalamiko kwa wadau kwamba ata baadhi ya maabara wanatoa majibu kwa maelekezo ile kama kutia watu moyo pia michezo ya kwenye madini ni mingi sana, miaka 3 kwa huyu jamaaa yetu ni mingi sana lazima akubali Kuna shida mahala, kuanzia site lab, plant Hadi elllution au mazingira anayofanyia kaziHapo akuna uchawi bob hapo unapigwa eithr plant au illution...napajua chunya na tulishakuwa na mgodi chunya(semi mining) huko kuna michezo hiyo sana vijana wa ilution wanapiga pesa sana...mambo ya stiliwaya yametawala huko na ni kutokana na wachimbaji wa huko wamechelewa kuijua dhahabu tofauti na kanda ya ziwa..changamoto niliyo iona kanda ya ziwa ni uchawi😅 dhahabu inapigwa kiuchawi ukipeleka lundo plant hakuna kitu..so ukitaka kufanya biashara hii jikane nafsi tu
Mishe vp huko MkuuMkuu hapo chunya sehemu gani maana mm nipo huku saza, mkwajuni naona watu wana piga noti tu.
Kama ndivo peleka huo mtaji shambaniNimejaribu sana, tena kwa imani kubwa kabisa
Lete mchongo hapa au twende huko PM niko serious, nimechoka mwili wangu kuwa wa majribio maana kila mmoja anatestia ndumba zake kwangu
Msaada wangu nimeshakupa hapo juu.Usinisimange mkuu, nipe msaada
Kaka Kuna shida mahala we amini ivo kama una uhakika na kazi yako kuanzia site na duara lako bac jua shida Iko plant kwa mkemia wako dawa unazotumia pia lakini pia kama hapo unapata mtu sahihi basi jua jua unapigwa elllution yaani kweny ile final point ndo unapigwa, mfano mzigo wako wa mwisho carbon yako ilisomaje kabla hujapandisha elllution na ulikuwa na Tani ngapi za carbon, je ulivuna kama ulivyotegemea kama ni hapana je uliulizia na kupewa sababu ili ujipange?Zile gram unazopata baada ya kutoka elution, unalinganisha na mzigo uliopelela plant
Kina Sabodo wamenywesha wee wadau maji ya kafara kwenye visima wabongo tunashangilia nakumpongeza marehemu alikuwa na roho nzuri ya kujitolea.Naomba uchukue ushauri huu Mkuu ambao na Baadhi wamekushauri hapo juu....
Sekta ya uchimbaji wa madini ni 'illusion' imezungukwa na kiini macho na ushirikina Mkubwa Sana Tena Sana.. ninapokwambia hivi ni experience from the field sio kuandika tu hapa JF.
Kama huamini kwenye kupata madini kwa ushirikina I can assure you wewe sio mchimbaji. Bila mganga Tena mganga mzuri hutoboi utafirisika na kua chizi. It's either ubadili kazi au ufate ushauri.
Hao ambao Mdau mmoja amezungumza hapo juu kwamba wazungu wanatumia teknolojia sijui Nini Nini, nakuhakikishia wao ni washirikina namba moja. Kumbuka tumeijua Freemason kupitia Sheikh Yahaya na hakuonesha imeanzia Tanzania , Bali imeanzia ulaya. So connect dots.
Wachina, Wahindi wote Wana tamaduni zao ambazo zinaashiria shiriki. Sema kwa huku kwetu inaonekana Uchawi. Kila duka la muhindi ametundika majani mlangoni lla wabongo tunasifia tu MO tajiri hujui Nini nyuma ya pazia ibada zao ni zipi.
So huo ndio ushauri wangu.. Ila Kumbuka...
GOD IS EVERYTHING
GOD IS ABLE
GOD IS ABOVE ALL
BELIEVE IN GOD
Bado ni wazo zuri sana mkuuu sema hatujui kama huko aliko compressor ni nying ila pia Ina hela nzuri tu , halafu pia anaweza kuwa anauza ata vifaaa vya blasting kwa wachimbaji wenzake anachoronga huku anasupply vifaaa vya blasting Bado inawezekana hili pia ni wazoMsaada wangu nimeshakupa hapo juu.
Nimekuuliza "wewe ni mchimbaji kweli", maana nimeshangaa unapoona na kukataa uchorongaji kwa kukodisha mobile compressor haviwezi kukupa hela na kutoboa maisha kwenye uchimbaji.
Naongea vitu ninavyovifahamu, ndio maana nikakwambia kama uchimbaji umekushinda wekeza kwenye ukodishaji wa vifaa Kwa hela na kuingia shares au UNATAKA NIKUONYESHE MGANGA NDIO UONE NIMEKUSAIDIA?.
huku ukikodisha vifaa kata na leseni ya brokers ikiwezekana master dealer, nunua vipoint na vigram Kwa hao wanaokuja kwenye mwalo wako peleka Dar kila 2 x weeks, in 2 yrs hautakuwa hata na muda wakuja huku JF kushukuru maana utakuwa busy kwenda Dubai na Thai.
All the best.
Dah mkuu Kazakh ni kitambo sana jamvin. Ulipoteaga wapi?Hahahaha nimecheka sana mkuu, hizo ppm una uhakika ni kweli? au wanakuwekea carbon kwenye marudio.
Cc StuxnetTafuta mwingine,wenzyo wakinga wanasema tukatoe haka kamoja kalee wenzye😁🤣😂😂