Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Milioni 40 ungewekeza kwenye biashara nyingine saa hii ungekuwa unahesabu faida ya ya laki tatu au nne kwa siku.

Hizi biashara hazifanywi kwa kubeti zinataka utaalamu mzuri wa miamba ambao utaweza kukuonyesha mahala madini yalipo. Vifaa vya kisasa vipo na vinakusaidia kuona madini yalipo. Nadhani unatakiwa kujipanga upya kwenye hii kazi.
Mkuu biashara gani dar hi uwekeze 40m upate faida ya 400k to 300k kwa siku naomba unitajie hiyo biashara.
 
Hapana mkuu, wala haihitaji elimu ya chuo kikuu kutambua kuwa waganga wanatuibia Tu.


Cha msingi ilikuwa wachimbaji kuungana na kukusanya mtaji utakaowawezesha kununua vifaa vya kisasa na teknolojia nzuri ya namna ya Ku locate madini yalipo na kiwango , au kuiomba Serikali kuwawezesha wachimbaji wazawa mitambo ya kisasa ya uchimbaji, muache kuchimba kwa kubahatisha na kupelekea kupoteza pesa zenu na mitaji.


Hivi mnaona hao wawekezaji wanapokuja kuchimba madini huku kwetu wanategemea waganga wa kienyeji kwenye uwekezaji wao wa mabilioni?

Hakuna uchawi katika sekta ya madini, wekeza vifaa na mitambo muhimu, teknolojia na wataalamu. Period
Akili za graduate 😂😂😂..
 
Unatumia njia gani kupima natural au artificial ??je unatumia wataalamu
Binafsi nakushauri mkuu jitahidi kufanya kazi na wataalamu na kuna kamashine kanauzwa milioni 10 nako hutumika kudetect madini aina mbali mbali.Tembea depertment za UDSM na UDOM utawapa wataalamu wa kutosha au nenda GST.

Chunya kuna reserve kubwa sana ya dhahabu so jitahid ufanye kisasa boss


Binafsi nasomea mineral exploration and mining geology.Namaliza mwakani
Aloo safi sana kijana.
 
Naibili Pesa au mafanikio Yana code nyingi sana na wanaopata huwa hawatoi code zao. Mchakato huo wa madini ni kama kubet vile lakini kama unataka mchakato wa hela nzuri ni PM nikuelekeze ujaribu na wewe bahati yako. Yote haya tunayoyahangaikia ni kuwa na ustawi wa kifedha
 
Back
Top Bottom