Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Hizi tunaita bla blaKila mtu alipangiwa riziki yake kwenye mahara fulani, mkuu usilazimishe tafuta Mungu alipo kupangia riziki yako.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi tunaita bla blaKila mtu alipangiwa riziki yake kwenye mahara fulani, mkuu usilazimishe tafuta Mungu alipo kupangia riziki yako.....
Mkuu biashara gani dar hi uwekeze 40m upate faida ya 400k to 300k kwa siku naomba unitajie hiyo biashara.Milioni 40 ungewekeza kwenye biashara nyingine saa hii ungekuwa unahesabu faida ya ya laki tatu au nne kwa siku.
Hizi biashara hazifanywi kwa kubeti zinataka utaalamu mzuri wa miamba ambao utaweza kukuonyesha mahala madini yalipo. Vifaa vya kisasa vipo na vinakusaidia kuona madini yalipo. Nadhani unatakiwa kujipanga upya kwenye hii kazi.
Udalali wa viwanjaMkuu biashara gani dar hi uwekeze 40m upate faida ya 400k to 300k kwa siku naomba unitajie hiyo biashara.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hujui unalo ongelea hao wanamaloza mpaka miazi mitatu haja uza kiwaja hata kimoja.Udalali wa viwanja
Akili za graduate 😂😂😂..Hapana mkuu, wala haihitaji elimu ya chuo kikuu kutambua kuwa waganga wanatuibia Tu.
Cha msingi ilikuwa wachimbaji kuungana na kukusanya mtaji utakaowawezesha kununua vifaa vya kisasa na teknolojia nzuri ya namna ya Ku locate madini yalipo na kiwango , au kuiomba Serikali kuwawezesha wachimbaji wazawa mitambo ya kisasa ya uchimbaji, muache kuchimba kwa kubahatisha na kupelekea kupoteza pesa zenu na mitaji.
Hivi mnaona hao wawekezaji wanapokuja kuchimba madini huku kwetu wanategemea waganga wa kienyeji kwenye uwekezaji wao wa mabilioni?
Hakuna uchawi katika sekta ya madini, wekeza vifaa na mitambo muhimu, teknolojia na wataalamu. Period
Mkuu nahitaji kila kitu.....hayo mazindiko, kinga, kuoshwa na kung'arishiwa nyota kabisaUnahitaji mazindiko au na vingine?
Umekubaliana na maneno yangu siyo? Wakinga kwenye mali kafara lazima, baada ya hapo kuishi kwa masharti.
ila ni nini?Kutumia mitishamba sio ushirikina,
Aloo safi sana kijana.Unatumia njia gani kupima natural au artificial ??je unatumia wataalamu
Binafsi nakushauri mkuu jitahidi kufanya kazi na wataalamu na kuna kamashine kanauzwa milioni 10 nako hutumika kudetect madini aina mbali mbali.Tembea depertment za UDSM na UDOM utawapa wataalamu wa kutosha au nenda GST.
Chunya kuna reserve kubwa sana ya dhahabu so jitahid ufanye kisasa boss
Binafsi nasomea mineral exploration and mining geology.Namaliza mwakani
🤣🤣🥲Angalau anahuzunikia kivuliniPole mkuu, naamini unahuzunika ukiwa ndani ya gari yako
Cha kushangaza hana gari dah! Yaani anaharibu million 40, na hana gari hata la raki 3. Mimi huo ujinga sifanyi.🤣🤣🥲Angalau anahuzunikia kivulini
Afrika bado tupo zama za ujima, Aisee yani Dunia ya Leo bado tunatumia mbinu hizi dhuuuu so sadKipimo gani ofsa?
Unazungumzia kitu kama hiki?
View attachment 2985797
Hicho kipimo cha milion 10 ni level za GMT (pichani) ambacho sio mchongo kabisa na siku hizi hakifai hata kwa survey.
Uchimbaji wa madini wa mdau ni wa karasha wa kudili na mawe maana yake hayo mavipimo kwa shughuli yake ni useless
View attachment 2985798
View attachment 2985799
Utasikia anawekeza Kwa ajili ya future,yaani anatafuta Hadi anasahau kuishi Hajui life is now....Cha kushangaza hana gari dah! Yaani anaharibu million 40, na hana gari hata la raki 3. Mimi huo ujinga sifanyi.
SIKWELI ,njoo upewe dawa zakisukuma kulinda mazao yakoHuko ndo balaa, nnapajua vizuri sana
Huu ni upumbavu, anunue hata kagari jmn, duh kuwekeza kwenye sululu hela zote hizo dahUtasikia anawekeza Kwa ajili ya future,yaani anatafuta Hadi anasahau kuishi Hajui life is now....
I miss you Sister 😍Utasikia anawekeza Kwa ajili ya future,yaani anatafuta Hadi anasahau kuishi Hajui life is now....