Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Unatumia njia gani kupima natural au artificial ??je unatumia wataalamu
Binafsi nakushauri mkuu jitahidi kufanya kazi na wataalamu na kuna kamashine kanauzwa milioni 10 nako hutumika kudetect madini aina mbali mbali.Tembea depertment za UDSM na UDOM utawapa wataalamu wa kutosha au nenda GST.

Chunya kuna reserve kubwa sana ya dhahabu so jitahid ufanye kisasa boss


Binafsi nasomea mineral exploration and mining geology.Namaliza mwakani
Karibu kwanye Mining Industry
 
Vidono muhimu si umeona umefika Ujiji kitu kimejipa umepanda cheo. Fanya haraka unioe kipenzi tuwe tunawanga pamoja

Vidono muhimu si umeona umefika Ujiji kitu kimejipa umepanda cheo. Fanya haraka unioe kipenzi tuwe tunawanga pamoja
Kwa hiyo imeshindikana kabisa kunipa koneksheni
 
Waganga wangekuwa na uwezo wa kuwafanikishia mafanikio huko migoni nafikiri hata wao wangeongoza kwa kuchimba madini na Kuwa mabilionea, eti unataka umfuate mganga umlipe laki mbili au tatu alafu yeye akufanikishie kupata dhahabu ya Milioni 200 kweli?

Hivi mnafikiri vizuri kweli
Usiweke hitimisho kwa jambo ambalo haulijui utafeli sana....sipo hapa kupigia debe uganga ila mwanzo sijakomaa akili kama ulivyo wewe nilikuwa ninamawazo kama yako ila kuna kesi ilinikuta ndipo ilibadili akili zangu
 
Back
Top Bottom