Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

Hapo akuna uchawi bob hapo unapigwa eithr plant au illution...napajua chunya na tulishakuwa na mgodi chunya(semi mining) huko kuna michezo hiyo sana vijana wa ilution wanapiga pesa sana...mambo ya stiliwaya yametawala huko na ni kutokana na wachimbaji wa huko wamechelewa kuijua dhahabu tofauti na kanda ya ziwa..changamoto niliyo iona kanda ya ziwa ni uchawi😅 dhahabu inapigwa kiuchawi ukipeleka lundo plant hakuna kitu..so ukitaka kufanya biashara hii jikane nafsi tu
Kwahiyo mkuu kati ya hizo sehemu ipi ni mzuri kuwekeza?
 
Wanajamvi

Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni

Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya,

Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika shughuli hii.

Huwa nnajitahidi kupima miamba kila hatua kama inavyoshauriwa lkn matokeo mara zote huwa kinyume na matarajio,

Mfano unaweza kupima mwamba ukaambiwa ni wastani wa ppm 8 lkn unachokuja kukipata ni wastani wa ppm 1

Wadau wengi hawataki kutoa siri ya wapi wanapitia ili kuhakikisha kile wanachotakiwa kukipata wanakipata,

Tafadhali sana, mwenye kujua namna nnaweza kupata msaada wa kweli tafadhali msaada hapo PM
Nimepigwa mueleka huko itumbi chunya. Nimepoteza zaidi ya milioni 89 kuanzia mwaka 2020 mpaka 2023. Mtindo ulikuwa huo huo. Unapima nakutana na Ppm 6. Lakini mwisho wa kupeleka prant na elution kidogo nizimie. Nilitoa hela zote za duka nikahamishia huko. Nimerudi dukani najikongoja. Japo nitarudi tena kwenye madini
 
Nimepigwa mueleka huko itumbi chunya. Nimepoteza zaidi ya milioni 89 kuanzia mwaka 2020 mpaka 2023. Mtindo ulikuwa huo huo. Unapima nakutana na Ppm 6. Lakini mwisho wa kupeleka prant na elution kidogo nizimie. Nilitoa hela zote za duka nikahamishia huko. Nimerudi dukani najikongoja. Japo nitarudi tena kwenye madini
Kwa mtu mwenye mtaji wa milion 60 unamshauri kwa uzoefu wako awekeze sehemu ipi kwenye sekta ya madini?
 
Haya mambo ya madini ni complicated Sana, nilianza hii kazi kwa mtaji Wa 2m Kwa kununua nikajapigwa mawe feki, nikaamua kuajiriwa kuchimba shimo la mshua fulani nako pia majanga tupu,
Haya mambo unaweza ukatumia utaalamu ama ushirikina na pia ukafeli.
Ni kama vile ulijaribu ushirikina ikashindikana?

Kuna mdau ameshauri ninunue dhahabu nikasema hiyo kazi nnaijua vizuri, unafilisika siku moja,

Usipouziwa fake, hela itaenda kwa kutoa advance na usipotoa hupati wauzaji
 
Back
Top Bottom