Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mkuu kati ya hizo sehemu ipi ni mzuri kuwekeza?Hapo akuna uchawi bob hapo unapigwa eithr plant au illution...napajua chunya na tulishakuwa na mgodi chunya(semi mining) huko kuna michezo hiyo sana vijana wa ilution wanapiga pesa sana...mambo ya stiliwaya yametawala huko na ni kutokana na wachimbaji wa huko wamechelewa kuijua dhahabu tofauti na kanda ya ziwa..changamoto niliyo iona kanda ya ziwa ni uchawi😅 dhahabu inapigwa kiuchawi ukipeleka lundo plant hakuna kitu..so ukitaka kufanya biashara hii jikane nafsi tu
Ww si ndo umejiongeza kuweka namba? Ila sio kesi nakupigia beibbbyyyy 😘PIGA sasa hivi tuyajenge, kumbe ulitaka Namba
PIGA utaziona hips za uboowanguWw si ndo umejiongeza kuweka namba? Ila sio kesi nakupigia beibbbyyyy 😘
Unaonekana una hips wewe
Nimepigwa mueleka huko itumbi chunya. Nimepoteza zaidi ya milioni 89 kuanzia mwaka 2020 mpaka 2023. Mtindo ulikuwa huo huo. Unapima nakutana na Ppm 6. Lakini mwisho wa kupeleka prant na elution kidogo nizimie. Nilitoa hela zote za duka nikahamishia huko. Nimerudi dukani najikongoja. Japo nitarudi tena kwenye madiniWanajamvi
Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni
Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya,
Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika shughuli hii.
Huwa nnajitahidi kupima miamba kila hatua kama inavyoshauriwa lkn matokeo mara zote huwa kinyume na matarajio,
Mfano unaweza kupima mwamba ukaambiwa ni wastani wa ppm 8 lkn unachokuja kukipata ni wastani wa ppm 1
Wadau wengi hawataki kutoa siri ya wapi wanapitia ili kuhakikisha kile wanachotakiwa kukipata wanakipata,
Tafadhali sana, mwenye kujua namna nnaweza kupata msaada wa kweli tafadhali msaada hapo PM
Unataka kukaliauboo? PIGA basi nakusubiriaWw si ndo umejiongeza kuweka namba? Ila sio kesi nakupigia beibbbyyyy 😘
Unaonekana una hips wewe
Kwa mtu mwenye mtaji wa milion 60 unamshauri kwa uzoefu wako awekeze sehemu ipi kwenye sekta ya madini?Nimepigwa mueleka huko itumbi chunya. Nimepoteza zaidi ya milioni 89 kuanzia mwaka 2020 mpaka 2023. Mtindo ulikuwa huo huo. Unapima nakutana na Ppm 6. Lakini mwisho wa kupeleka prant na elution kidogo nizimie. Nilitoa hela zote za duka nikahamishia huko. Nimerudi dukani najikongoja. Japo nitarudi tena kwenye madini
Mmmh hiyo kazi ni ngumu sana, labda kama umewahi kuifanya, huku wanaitwa wasambazaji ni msoto na nusuUngenunua gold detector hata ya 15m mbona unhekua mbali sana
Tafuta ya mjerumani maana hiyo unaweza hata kuikodisha kwa unaowqjua
Ni kama vile ulijaribu ushirikina ikashindikana?Haya mambo ya madini ni complicated Sana, nilianza hii kazi kwa mtaji Wa 2m Kwa kununua nikajapigwa mawe feki, nikaamua kuajiriwa kuchimba shimo la mshua fulani nako pia majanga tupu,
Haya mambo unaweza ukatumia utaalamu ama ushirikina na pia ukafeli.
Miaka 3 nitakuwa sijafanya yote hayo? Kwa uzoefu wangu tu nnaweza kufanya plant bila mkemia ni vile tunagawana riziki tu.Badili maabara ya kupima, badili plants, elution na wakemia. Au mzigo gawa na tumia watutofauti uone matokeo yake.