Nimechoka kuwa mwalimu

Ualimu hauna kasoro hasa serikalini, chenye kasoro hapo ni ubongo wako kutokuziona fursa za kufanya ili hali bado upo kwenye ajira. Nawasilisha
 
Anajiona kuwa wa maana kusoma chuo walimu wake ni akina Kabudi
Nyinyi mnamihemko hamtafakari.
Yani mtu wa uchumi sombe msaada kwa wasio wachumi, inawaingia akilini kweli.
Basi tugeuze iwe GPA ya 2.5 ya TEKU na UDOM ndio 4 ya UDSM ili mfurahi maana nimewaudhi.
Hslafu hakuna mahala nimesema nimesoma UDSM.
 
You're right
Nyinyi mnamihemko hamtafakari.
Yani mtu wa uchumi sombe msaada kwa wasio wachumi, inawaingia akilini kweli.
Basi tugeuze iwe GPA ya 2.5 ya TEKU na UDOM ndio 4 ya UDSM ili mfurahi maana nimewaudhi.
Hslafu hakuna mahala nimesema nimesoma UDSM.
 
Unalialia na benk zipo za kukopa na unasema ni muhasibu?au ndo ushakopa ukala bia mzee baba waliosoma sayansi kimu wasemeje
 
Peleleza ni shule gani wanafufisha masomo yako nenda kwa ded wako mwambie utapata uamisho.
 
Hawezi kuiona fursa kwenye ualimu wakati alisha adress kuwa haupend ualim

Pili kashasema aliingia kwa sababu ya kukosa option, kama msomi hiyo tu inatosha kumdisqualify katika ualim
 
Kuna jamaa alikuwa na mawazo kama yako nikamsisistiza sana tena mara nyingi mno asiache hiyo kazi aangalie fursa mbalimbali za kumpa kipato nje ya kazi yake maana wenzake wengi wanapiga pesa vizuri tu akaniona mimi boya fulani akapiga mzigo chini baada ya miezi miwili alikutana na msoto hadi saizi bado anakiona cha mtema kuni,penda kazi uliyonayo kikubwa inakupa kipato.
 
Usimtishe mwenzako kwani dunia imeshaisha kwa jamaako
 
akili yako ni mgando wewe.....maisha ni zaidi ya ajira lazima tufanye tunachokipenda ili kuongeza ubunifu kuliko kufanya mradi kazi nyambafu wewe. mtoa mada endelea kupambana usikate tamaa.
 
Nikupe Akili,
Nenda benki kakope afu ingia mtaani.

Tumia elimu yako ya uchumi na uhasibu uliyosomea ukajiajili.

Mambo yakinyooka mtaani,
achana na ishu za kupiga chaki.

Naamini utafanya vizur Sana katika ujasiliamali.
Ushauri mbaya sana huu. Usimpoteza mwenzio aje kujuta
 
Mkuu naona uzi wa mwaka jana. Vipi maendeleo mkuu?
 
This is what am doing now hata bila mkopo, thou biashara kuna miezi inakua tight hatarii... but tunakaza, kinachonikwaza mm ni kuwa nafanya kazi kwa masomo nisiyoyapenda kabisa. Ingekua Economics na account ningevimba

Ualimu siyo field yako mheshimiwa! Nenda kwenye uchumi unaoupenda! Unaweza ku exercise uchumi wako nje ya darasa na utafanikiwa! Ukishakuwa na kinyongo nankazi unayoiifanya jua hautafika nayo mbali!

Fursa ziko nyingi kwenye ualimu, masomo ya oo line yako mengi; ila Watanzania walikwisha karirishwa kuwa elimu ni mpaka uende chuoni!!! Aibu
 

mkuu wanafundisha wapi hiyo codding nimevutiwa na ushauri wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…