Nimechoka kuwa mwalimu

Nimechoka kuwa mwalimu

Nikupe Akili,
Nenda benki kakope afu ingia mtaani.

Tumia elimu yako ya uchumi na uhasibu uliyosomea ukajiajili.

Mambo yakinyooka mtaani,
achana na ishu za kupiga chaki.

Naamini utafanya vizur Sana katika ujasiliamali.
This is what am doing now hata bila mkopo, thou biashara kuna miezi inakuwa tight hatarii... but tunakaza, kinachonikwaza mimi ni kuwa nafanya kazi kwa masomo nisiyoyapenda kabisa. Ingekuwa Economics na account ningevimba.
 
Wakuu habari, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Nimesoma Education (bachelor of education in policy planning and management) nikispecialize kwenye Economics and accountancy kama teaching subjects, Sikuwahi kupenda kuwa mwalim lkn baada ya ukimaliza form six niliona sina option zaidi ya kuomba hio.

Sababu zilifanya niombe kwanza ni hali ngumu ya nyumbani na wigo mpana wa ajila na mkopo. Nilivomaliza chuo nilibahatika kufanya kazi shule kadhaa as private baadhi zinalipa vizuri zingine ndio hivo tena.

Mwaka 2016 nilibahatika kupata kazi serikalini, mwanzo nilifurahi lkn picha linaanza nilipangiwa shule na masomo ya kufundisha yakawa sawa yaan Economics and accountancy lakin shule niliyopangwa kwanza ni o level pili haina somo la biashara hata moja, nilivouliza nikaambiwa Bora nikubari nafundisha hata Civics maana shule iliyopo ya biashara ni moja tu na iko kijjn sana. Nilikubar na kuanza kazi mwanzo nilifundisha Civics baadae nikaona siwez nikahamia kwenye maths hadi sasa.

Changamoto ni nini? Nimechoka kufundisha vitu nisivovipenda, zaid pia ualim ni taaluma nzuri isiyokua na shukrani, haina fursa ya kukua au kuongezeka kitaaluma, kiuchumi inadumaza sana.
Msaada kwenu, what is the best, nirudi shule nikasome course mbadala? Au niombe uhamisho na kwa technique ipi ili nipate kulingana na masomo yangu ili nisipelekwe huko kufundisha commerce na bk wakat Ajira yangu ni ya Economics na account?

Kama ni shule je fursa ziko wapi kati ya kozi hizi nilizozipenda?
1. Insurance and risk management?
2. Social security hii sijui kirefu sana lkn inadeal na mifuko ya hifadhi za jamii.
3. Kama ipo nyingine in relation to business niambie.

Natanguliza shukrani, na samahani kwa uzi mrefu.
Ungekua diploma ningesema ukasome degree ya uhasibu ila kwa sababu una degree labda uombe uhamisho uende shule zenye masomo yako..
 
1. Soma course upendayo Open Univesity huku ukiendelea kufundisha...,ukishahitimu unaweza kutafuta kazi kulingana na ulichosomea ukaachana na ualimu
2. Chukua mkopo wa maana bank invest kwenye business..,stress za shule zitapoozwa na profits utakazopata kwenye biashara.., ukiona biashara imesimama unaweza kuachana na ualimu
 
ongea na mkuu wako kuhusu namna ya kuanzisha masomo ya bookkeeping na commerce hapo shuleni kwenu.

mwakani unapanda daraja na utafurahi tu, penda ualimu, ni kazi takatifu iliyompendeza Bwana.
Bk na comm mwakani form one wanakuja 500 mwaka huu wako 300 mm natoboa vipi masomo mawili?
 
The stupidy things you can do ni kwenda kusoma chochote, ninachokushauri soma vitu vya mtaani kama
1.Coding
2.blogging
3.stock investment
4.cryptocurrency
5.social media marketing
6.Influencer n.k

Hivi vitakulipa hela nyingi baada ya miaka mitano kuliko hata mbunge (speaking from my experience) na utaacha kazi bira kuja kuomba ushauri wa MTU.

Sijui kwanini watu wanapenda elimu ya darasani wakati inawapa watu umaskini hata maprofesa tunaona wanafuga kuku.
 
Wakuu habari, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Nimesoma Education (bachelor of education in policy planning and management) nikispecialize kwenye Economics and accountancy kama teaching subjects, Sikuwahi kupenda kuwa mwalim lkn baada ya ukimaliza form six niliona sina option zaidi ya kuomba hio.

Sababu zilifanya niombe kwanza ni hali ngumu ya nyumbani na wigo mpana wa ajila na mkopo. Nilivomaliza chuo nilibahatika kufanya kazi shule kadhaa as private baadhi zinalipa vizuri zingine ndio hivo tena.

Mwaka 2016 nilibahatika kupata kazi serikalini, mwanzo nilifurahi lkn picha linaanza nilipangiwa shule na masomo ya kufundisha yakawa sawa yaan Economics and accountancy lakin shule niliyopangwa kwanza ni o level pili haina somo la biashara hata moja, nilivouliza nikaambiwa Bora nikubari nafundisha hata Civics maana shule iliyopo ya biashara ni moja tu na iko kijjn sana. Nilikubar na kuanza kazi mwanzo nilifundisha Civics baadae nikaona siwez nikahamia kwenye maths hadi sasa.

Changamoto ni nini? Nimechoka kufundisha vitu nisivovipenda, zaid pia ualim ni taaluma nzuri isiyokua na shukrani, haina fursa ya kukua au kuongezeka kitaaluma, kiuchumi inadumaza sana.
Msaada kwenu, what is the best, nirudi shule nikasome course mbadala? Au niombe uhamisho na kwa technique ipi ili nipate kulingana na masomo yangu ili nisipelekwe huko kufundisha commerce na bk wakat Ajira yangu ni ya Economics na account?

Kama ni shule je fursa ziko wapi kati ya kozi hizi nilizozipenda?
1. Insurance and risk management?
2. Social security hii sijui kirefu sana lkn inadeal na mifuko ya hifadhi za jamii.
3. Kama ipo nyingine in relation to business niambie.

Natanguliza shukrani, na samahani kwa uzi mrefu.
Ushauri wangu;
Nenda kasome hiyo kozi No.2 uliyopendekeza.
Ukirudi hutapangiwa shule tena utakwenda halmashauri ofisi ya utumishi kama mtaalamu wa mafao.
NB: Zingatia ushauri huu.
 
Ushauri wangu;
Nenda kasome hiyo kozi No.2 uliyopendekeza.
Ukirudi hutapangiwa shule tena utakwenda halmashauri ofisi ya utumishi kama mtaalamu wa mafao.
NB: Zingatia ushauri huu.
Thank you, with due respect
 
Unataka kunikumbushia enzi za Magu,kuna Mwamba alisema alimaliza Chuo na Hana ajira Hivyo anaitaka Serikali itoe ajira.Jiwe akamuuliza maswali Matatu tu,La kwanza ulisoma Chuo kikuu kipi Tz?,La pili ulisoma kozi gani?,La tatu Ulipata GPA ya ngapi?.Ninachokumbuka hadi leo ni kwamba yule Jamaa alisema alipata GPA ya 32, maswali mengine usiniulize jinsi alivyojibu.
😂 😂 😂
 
The stupidy things you can do ni kwenda kusoma chochote ,ninachokushauri soma vitu vya mtaani kama
1.Coding
2.blogging
3.stock investment
4.cryptocurrency
5.social media marketing
6.Influencer n.k

Hivi vitakulipa hela nyingi baada ya miaka mitano kuliko hata mbunge (speaking from my experience) na utaacha kazi bira kuja kuomba ushauri wa MTU.

Sijui kwanini watu wanapenda elimu ya darasani wakati inawapa watu umaskini hata maprofesa tunaona wanafuga kuku.
Nimekuelewa Sana Master
 
Dogo kama GPA nzuri omba kuhamia TET au Shirika la Elimu Kibaha au Vyuo vya CBE, TIA, AIA na vingine vingi Kama vipi kapige masters usepe
Ebu nisaidie mzee baba namna ya kuomba naandika barua kwa nani? Nina ndoto sana ya kufanya kazi vyuo vya kati. Hii kazi ya kufundisha watoto ishanichosha
 
Back
Top Bottom