Nimechoka kuwa mwalimu

Nimechoka kuwa mwalimu

bado una akili za kitoto ukikua utajitambua, by the way bado mchanga kazi umeanza 2016, endelea kuchukia ualimu ipo siku utaupenda udereva bodaboda
Ni vyema utoa ushauri unaoeleweka moja kwa moja. Haya mafumbo yako hayataleta tija yoyote.

Kama kuna jambo mahsusi unaliona haliko sawa ni bora ulibainishe.
 
Nakufananisha na mwanamke aliyejipost yupo uchi halafu a nakwambia anafaa afanye kazi gani, Asee nakushauri ACHA KAZI YA UALIMU.
 
Wakuu habari, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Nimesoma Education (bachelor of education in policy planning and management) nikispecialize kwenye Economics and accountancy kama teaching subjects, Sikuwahi kupenda kuwa mwalim lkn baada ya ukimaliza form six niliona sina option zaidi ya kuomba hio.

Sababu zilifanya niombe kwanza ni hali ngumu ya nyumbani na wigo mpana wa ajila na mkopo. Nilivomaliza chuo nilibahatika kufanya kazi shule kadhaa as private baadhi zinalipa vizuri zingine ndio hivo tena.

Mwaka 2016 nilibahatika kupata kazi serikalini, mwanzo nilifurahi lkn picha linaanza nilipangiwa shule na masomo ya kufundisha yakawa sawa yaan Economics and accountancy lakin shule niliyopangwa kwanza ni o level pili haina somo la biashara hata moja, nilivouliza nikaambiwa Bora nikubari nafundisha hata Civics maana shule iliyopo ya biashara ni moja tu na iko kijjn sana. Nilikubar na kuanza kazi mwanzo nilifundisha Civics baadae nikaona siwez nikahamia kwenye maths hadi sasa.

Changamoto ni nini? Nimechoka kufundisha vitu nisivovipenda, zaid pia ualim ni taaluma nzuri isiyokua na shukrani, haina fursa ya kukua au kuongezeka kitaaluma, kiuchumi inadumaza sana.
Msaada kwenu, what is the best, nirudi shule nikasome course mbadala? Au niombe uhamisho na kwa technique ipi ili nipate kulingana na masomo yangu ili nisipelekwe huko kufundisha commerce na bk wakat Ajira yangu ni ya Economics na account?

Kama ni shule je fursa ziko wapi kati ya kozi hizi nilizozipenda?
1. Insurance and risk management?
2. Social security hii sijui kirefu sana lkn inadeal na mifuko ya hifadhi za jamii.
3. Kama ipo nyingine in relation to business niambie.

Natanguliza shukrani, na samahani kwa uzi mrefu.
usiache kaz wapo watu weng wanataman walau wapate kaz kama yako
 
Mkuu naona uzi wa mwaka jana. Vipi maendeleo mkuu?
Nipo mkuu, napambana na maisha nje huku na Mungu ni mwema ila kazi sijaacha na siachi.
 
Yaani alius na kuzika kabisa. GPA 32[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi nakushauri acha

Watu wanazani kuteseka ni kubaya .Kuteseka mara nyingi ni razima ili mtu afanikiwe

Na kutokuacha pia ni risk.maana unarisk vile vitu ambavyo ungevipata ukiacha.
 
Wasomi wetu kuna mambo mengi sana hawajui.Wapi uliona kuna mshauri wa mafao wa Halmashauri?
Hiko kitengo kweli hakipo! Vipi unaweza ukafanyaje kikaongezwa pale?
 
Mkuu nasikia ukisoma CPA ukafanyiwa recategorization unapewa mshahara wa kunazia wa bachelor! Kuna ukweli wowote?
CPA wanamishahara yao inatofautiana na mtu aliyesoma bachelor ya accountancy na hana CPA. Pia ukisoma hii itakutoa kuomba kuhamia mashirika mbalimbali ya umma yanayotangaza nafasi za kuhamia kwa watumishi wa umma. Fanya CPA kama utaweza . Kwa level yako ya elimu utaanza na ngazi ya Foundation, utafuta level ya Intermediate na utamalizia final level
 
CPA wanamishahara yao inatofautiana na mtu aliyesoma bachelor ya accountancy na hana CPA. Pia ukisoma hii itakutoa kuomba kuhamia mashirika mbalimbali ya umma yanayotangaza nafasi za kuhamia kwa watumishi wa umma. Fanya CPA kama utaweza . Kwa level yako ya elimu utaanza na ngazi ya Foundation, utafuta level ya Intermediate na utamalizia final level
May be nikuulize hivi! Ukipandishwa daraj tuseme ukiwa E1 ina mshahara ya 900+. Je kuna categorisation itakufanya uende na hio au utarudi kwenye 700+ anayoanza nayo wa bachelor!
Nina option 2 by next year, kusoma CPA au masters japo hapa kwa masters sinanua sana course ipi naweza soma but open. So btn the two i should go for 1 option! Ushauri pls.
 
Back
Top Bottom