Nimechoka kuwa mwembamba

mi nimetoka huko sahivi modo.
ila kula sana vyakula vya mafuta yaani kula kula ovyo hata kama huna njaa alafu usifanye mazoezi uwe unalala lala has a mchana.pia viporo kwa sana
Sasa viporo si vinavimbisha tumbo mkuu unakuwa una likitambi hilo
 
Mkuu temea mate chini
Unene unaboa sana
Utakosa vingi
 
Kwa siku lita moja? Haishauriwi kiafya?
 
Mwenzako alienda India kukata utumbo ili akonde. Basi vice versa could be true!
 
Kama unakula vizuri na huumwi basi kazi yake Mola haina makosa .
 
Mkuu hongera.

Unaongeaga point sana kila nionapo comment yako.
 
Kunenepa rahisi, shughuli ni kukonda.
Kula sana vyakula vya wanga hasa wali na sukari!
 
hahahah [emoji23] [emoji23] mwangalie baba au mama ni wanene? kama sio wanene basi jikubali tu, kama wa nene basi huenda una mawazo sanaaa,,, punguza mambo yetu
 
isije ikawa una roho mbaya tu?,ila miili inatafautiana,kuna rafiki yangu namfahamu tokea darasa la kwanza hajawahi kuwa na mwili wala kitambi na anakula kama viwavi jeshi,kama na wewe unamwili wa aina hiyo cha kufanya ni kuridhika tu na kushukuru mungu,sie wengine tukijisahau wiki tu au wiki mbili tunagain kilo 5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…