Deva
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 1,238
- 1,812
- Thread starter
- #21
Sasa viporo si vinavimbisha tumbo mkuu unakuwa una likitambi hilomi nimetoka huko sahivi modo.
ila kula sana vyakula vya mafuta yaani kula kula ovyo hata kama huna njaa alafu usifanye mazoezi uwe unalala lala has a mchana.pia viporo kwa sana