King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Maji/Soda baridi yanagandisha mafuta mwilini hivyo yanakufanya unanenepa ndio maana kama unataka kukata mafuta unatakiwa kunywa maji ya uvuguvugu.Soda ya majiyakiwa baridi, ubaridi mwilini unasaidia nini????
hunenepi sio kuwa huna kipato cha kutosha!Mkuu hii diet inazidi kipato changu.
Situmii bia mkuu
Sahihi kabisa mkuu,huyu KikulachoChako ni member ninayemkubali zaidi hapa JF,keep it up brother.Mkuu hongera.
Unaongeaga point sana kila nionapo comment yako.
zinanenepeshaKula sana tende.
Asubuhi:
-Chapati tatu
-Supu ya Ngombe
-Soda baridiiiiiii
-Maji Baridiiiii ya nusu lita
Mchana
-Ugali Nyama
-SOda Baridiiiii
-Maji nusu Lita baridiiiiiii
Usiku
-Piga Nyama choma na ndizi
-Biereeee baridiiiiiiiiiii
Usipende kutembea sana mwendo mrefu.
Pia Pitia na Huu Ushauri wa Dr Othman Kwenye Hii Clip ni Muhimu sana.
Zinaongeza uzito.Z
zinanenepesha
Best comment man. Aridhike alivyo. Yuko ambae atamkubali the way alivyo .Tumeumbwa tofauti na kila mmoja amepewa maumbile yake......
Ukiishi kwa kutaka kuwafurahisha wanadamu automatically unakuwa mtumwa wa fikra zao....
Mwanadamu hajawahi kuridhika wala kutosheka tangu kuumbwa kwa ulimwengu huu!!!...
Kila nati imeundwa mahususi wa ajili ya bolt yake!!!!
Ukiona mpenzi wako analalamikia sana maumbile yako ya kimwili basi ujue upo naye kimwili lakini sio kifikra!!!
NB
Kama umeamua hivyo kwa utashi wako sio mbaya
Mkuu bei gani hiyo wheyMkuu mbona simple sana kuwa na mwili mkubwa. Ishu ni msosi tena msosi wa kutosha tu
Kula vyakula vya wanga kuzidi mahitaji ya mwili wako yaani ww kula wanga mpaka ukinai alafu kula tena uo wanga.(umenielewa?)
Sababu unene ni matokeo ya wingi wa wanga mwilini yaani ule wanga wa ziada ndio unaleta ubonge
Alafu pia kula mayai hasa wakuchemsha 2-3 kwa siku hii idadi ni mujarabu kabisa, hapa kumbuka kitu kimoja mayai hayanenepeshi ila yata control huo ubonge wako usije kuwa bonge nyanya sawa mkuu?
Usisahau bia moja kila siku (siyo kirikuu) kama ni kirikuu basi viwili [emoji3].
NB: Japo hupendi mazoezi nakushauri kwenye huu ulaji upige tumazoezi kidogo kila siku.
UKISHINDWA HUU ULAJI BASI TUMIA HILI LI DUDE NITAKALOLIWEKA HAPO CHINI, HILO NI WIKI MBILI TU UNANUNIA SURUALI MPYA View attachment 833846