Mkuu mbona simple sana kuwa na mwili mkubwa. Ishu ni msosi tena msosi wa kutosha tu
Kula vyakula vya wanga kuzidi mahitaji ya mwili wako yaani ww kula wanga mpaka ukinai alafu kula tena uo wanga.(umenielewa?)
Sababu unene ni matokeo ya wingi wa wanga mwilini yaani ule wanga wa ziada ndio unaleta ubonge
Alafu pia kula mayai hasa wakuchemsha 2-3 kwa siku hii idadi ni mujarabu kabisa, hapa kumbuka kitu kimoja mayai hayanenepeshi ila yata control huo ubonge wako usije kuwa bonge nyanya sawa mkuu?
Usisahau bia moja kila siku (siyo kirikuu) kama ni kirikuu basi viwili [emoji3].
NB: Japo hupendi mazoezi nakushauri kwenye huu ulaji upige tumazoezi kidogo kila siku.
UKISHINDWA HUU ULAJI BASI TUMIA HILI LI DUDE NITAKALOLIWEKA HAPO CHINI, HILO NI WIKI MBILI TU UNANUNIA SURUALI MPYA
View attachment 833846