Nimechoka kuwa mwembamba

Nimechoka kuwa mwembamba

Mkuu hii diet inazidi kipato changu.
hunenepi sio kuwa huna kipato cha kutosha!
HUJARIDHIKA NA KIPATO ULICONACHO!
ukikipata HUTAHITAJI KULA ULIVYOANDIKIWA ILI UNENEPE!
manake mi najionaga nikiwa na hela najikuta tu sisikii njaa!


BUT WEMBAMBA UNA TATIZO GANI LAKIN?
tuanzie hapo kwanza?
 
Mkuu mbona simple sana kuwa na mwili mkubwa. Ishu ni msosi tena msosi wa kutosha tu

Kula vyakula vya wanga kuzidi mahitaji ya mwili wako yaani ww kula wanga mpaka ukinai alafu kula tena uo wanga.(umenielewa?)

Sababu unene ni matokeo ya wingi wa wanga mwilini yaani ule wanga wa ziada ndio unaleta ubonge

Alafu pia kula mayai hasa wakuchemsha 2-3 kwa siku hii idadi ni mujarabu kabisa, hapa kumbuka kitu kimoja mayai hayanenepeshi ila yata control huo ubonge wako usije kuwa bonge nyanya sawa mkuu?

Usisahau bia moja kila siku (siyo kirikuu) kama ni kirikuu basi viwili [emoji3].

NB: Japo hupendi mazoezi nakushauri kwenye huu ulaji upige tumazoezi kidogo kila siku.

UKISHINDWA HUU ULAJI BASI TUMIA HILI LI DUDE NITAKALOLIWEKA HAPO CHINI, HILO NI WIKI MBILI TU UNANUNIA SURUALI MPYA
IMG_6451.JPG
 
Najifurahia na ubonge wangu

Sasa mkuu ukishaongezeka itakusaidia nini?
 
Asubuhi:
-Chapati tatu
-Supu ya Ngombe
-Soda baridiiiiiii
-Maji Baridiiiii ya nusu lita

Mchana
-Ugali Nyama
-SOda Baridiiiii
-Maji nusu Lita baridiiiiiii

Usiku
-Piga Nyama choma na ndizi
-Biereeee baridiiiiiiiiiii

Usipende kutembea sana mwendo mrefu.

Pia Pitia na Huu Ushauri wa Dr Othman Kwenye Hii Clip ni Muhimu sana.

Hivi mtu unakula vyote hivi?

chapati tatu supu ya n'gombe soda baridiiii na maji baridiii Asubuhi tu?

Asubuhi

-hapo nitakula Chapati mbili na maziwa..supu situmii...soda siwezi kunywa asubuhi... hayo -maji siwezi kuyanywa asubuhi nipo sehemu ina baridi saana.

MCHANA
-ugali nyama hapa nitaula.
-soda sitakunywa..Nitakula tunda.
-maji nitakunywa.

USIKU
-Nyama choma na ndizi.. sitaweza kula nitakuwa nimeshibashiba...nitakula kitu sweet.
-Bia sitaweza kunywa lbda wine ya kutafutia usingizi.

RATIBA YAKO ITANISHINDA MKUU.
 
Tumeumbwa tofauti na kila mmoja amepewa maumbile yake......

Ukiishi kwa kutaka kuwafurahisha wanadamu automatically unakuwa mtumwa wa fikra zao....

Mwanadamu hajawahi kuridhika wala kutosheka tangu kuumbwa kwa ulimwengu huu!!!...

Kila nati imeundwa mahususi wa ajili ya bolt yake!!!!

Ukiona mpenzi wako analalamikia sana maumbile yako ya kimwili basi ujue upo naye kimwili lakini sio kifikra!!!

NB
Kama umeamua hivyo kwa utashi wako sio mbaya
Best comment man. Aridhike alivyo. Yuko ambae atamkubali the way alivyo .
 
acha kabisa kufanya ngono atleast kwa mwaka mmoja na jitahidi kula vyakula vyenye mafuta kama karanga mbichi,korosho
 
Sasa kama hujikubari basi huo ndo ugonjwa wa kujitakia kunenepa hakulazimishwi
 
Mkuu mbona simple sana kuwa na mwili mkubwa. Ishu ni msosi tena msosi wa kutosha tu

Kula vyakula vya wanga kuzidi mahitaji ya mwili wako yaani ww kula wanga mpaka ukinai alafu kula tena uo wanga.(umenielewa?)

Sababu unene ni matokeo ya wingi wa wanga mwilini yaani ule wanga wa ziada ndio unaleta ubonge

Alafu pia kula mayai hasa wakuchemsha 2-3 kwa siku hii idadi ni mujarabu kabisa, hapa kumbuka kitu kimoja mayai hayanenepeshi ila yata control huo ubonge wako usije kuwa bonge nyanya sawa mkuu?

Usisahau bia moja kila siku (siyo kirikuu) kama ni kirikuu basi viwili [emoji3].

NB: Japo hupendi mazoezi nakushauri kwenye huu ulaji upige tumazoezi kidogo kila siku.

UKISHINDWA HUU ULAJI BASI TUMIA HILI LI DUDE NITAKALOLIWEKA HAPO CHINI, HILO NI WIKI MBILI TU UNANUNIA SURUALI MPYA View attachment 833846
Mkuu bei gani hiyo whey

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom