Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto wa Tripple 7.Nimetamani kungekua kubadilishana mwili nikupe huu wangu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Pole mkuu...unataka kifua kipana kama changu?!
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Eh Nakusubir wwHujaolewa tu?!
Eh Nakusubir ww
Club yetu inabamba kama kawaida hasa siku ya jumatano ijumaa na jumamosi. [emoji23][emoji23][emoji23]Mtoto wa Tripple 7.
Vipi club yao. Nakumbuka zama za Kikwete ilikuwa inajaza mpaka Ac zinazidiwa. Kuna wakati nilikuwa naingia saa nane ili nikute watu wamepungua
Mbona sijaona nyama takatifu aliyo nyimwa mtume?Asubuhi:
-Chapati tatu
-Supu ya Ngombe
-Soda baridiiiiiii
-Maji Baridiiiii ya nusu lita
Mchana
-Ugali Nyama
-SOda Baridiiiii
-Maji nusu Lita baridiiiiiii
Usiku
-Piga Nyama choma na ndizi
-Biereeee baridiiiiiiiiiii
Usipende kutembea sana mwendo mrefu.
Pia Pitia na Huu Ushauri wa Dr Othman Kwenye Hii Clip ni Muhimu sana.
Huku ni kupotoshana. Hapa atakuwq anayatengenezea mazingira magonjwa yote ambayo sio ya kuambukizwa.Asubuhi:
-Chapati tatu
-Supu ya Ngombe
-Soda baridiiiiiii
-Maji Baridiiiii ya nusu lita
Mchana
-Ugali Nyama
-SOda Baridiiiii
-Maji nusu Lita baridiiiiiii
Usiku
-Piga Nyama choma na ndizi
-Biereeee baridiiiiiiiiiii
Usipende kutembea sana mwendo mrefu.
Pia Pitia na Huu Ushauri wa Dr Othman Kwenye Hii Clip ni Muhimu sana.
Weee ni ke au ni me.Habari za mida hii wakuu, nadhani mko salama.
Ni dawa gani ambayo mtu akitumia anaongezeka mwili? Mazoezi ya kwenda gym siyawezi kwa sababu ratiba yangu hainiruhusu.
Pia kama ni suala la chakula nimeshajaribu kula sana lakini wapi, hivyo basi ninauliza ni dawa gani ambayo nikitumia nitaongezeka mwili?
Nimechoka mwili mwembamba na kifua kama kidari cha kuku.
Umenitisha sanaNimetamani kungekua kubadilishana mwili nikupe huu wangu.
Kwanini??Umenitisha sana
Sipendi unene.Kwanini??
hapo atapata kitambi tuKunywa bia za kutosha
Hongera sana. Mimi lishe ya wali ndo mchawi wa wangu.Sipendi unene.
Mi nilikuwa na kg 80, nimepiga mazoezi ya nguvu na kupunguza kula, sasa nina kg 68.
Sasa nikiona mtu mnene, nina muona ni mtu asiye na nidhamu kwenye lishe. Namshangaa sana.