Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakukabidhi huyo, week tu ashakumbuka ughaibuni[emoji23][emoji23][emoji23] ase nimecheka dah bia bei chee
Rudi kama boma liwanza mkuuAma hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu
Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 BONGO NYOSO! Maisha sio mepesi yani itafikia utaikumbuka hata kazi iliokuwa inakupa dollar 15 kwa lisaa.Tajiri ukirudi bongo mwezi tu utapakumbuka mwenyewe kiwanja [emoji23][emoji23][emoji23]
nakukabidhi huyo, week tu ashakumbuka ughaibuni
Badala ya kutafuta pesa na ku save unataka vijiwe vya kashata kama wale wacheza draft na bao kutwa nzima?!Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu
Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
Ww hauna shukrani.Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu
Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
[emoji23][emoji23][emoji23]dah aseeHebu pambana kijana, maana ukirudi dishi linaweza cheza au kuyumba Kama Hawa kina GENTAMYCINE, Chizi Maarifa mpwayungu village na Unique Flower
Daaaaaaaah.....Hebu pambana kijana, maana ukirudi dishi linaweza cheza au kuyumba Kama Hawa kina GENTAMYCINE, Chizi Maarifa mpwayungu village na Unique Flower
Bora nimwambie ukweli, maana hospital ya mirembe ilishawakataa nyie.Daaaaaaaah.....
Anataman kurud ila akiangalia hali sio hali.. bora abakie huko hukoChagua lililo jema, maana Kumbuka jua huwa kali mchana ila jioni linazama.
Kuwa makini, Usije rudi na mfuko wa Rambo, maana huku imezuiliwa.