Nimechoka maisha ya ughaibuni

Nimechoka maisha ya ughaibuni

Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu

Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
Rudi kama boma liwanza mkuu
 
Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu

Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
Badala ya kutafuta pesa na ku save unataka vijiwe vya kashata kama wale wacheza draft na bao kutwa nzima?!

Mtafute Mkenya uone kama ana mawazo kama haya ya kwako.

Ukiona huwezi hayo maisha. Basi fanya kazi. Save money, rudi bongo kuwekeza.
 
Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu

Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
Ww hauna shukrani.
 
Ni mwiko kukata tamaa, ila jifunze kuyasoma mazingira kama ni rafiki au sio rafiki.

Inawezekana wewe ndo kikwazo kwenye maisha yako, aidha una tabia zinazokwamisha mafanikio yako.

Wewe ndo mtu unayejijua zaidi, tafuta connection nzuri za kukuvusha hapo ulipo kwenda hatua nyingine.

Usikae na watu ambao wote mna lingana akili mpaka mafanikio, tafuta watu watakao kupa msimamo wa kufanikiwa zaidi.
 
Anayetoboa akienda ughaibuni ni yule ambaye angetoboa hata akibakia Tanzania. Nimekaa nje ya Tanzania(Europe 6yrs, Middle East 2yrs) lakini nimeona asilimia kidogo sana ndo wanatoboa.

Unahitaji kuwa smart na uishi maisha halisi, ufanye savings sana starehe iwe kidogo sana. Mtu akiwaza maisha ya Bongo yalivyo magumu kiutafutaji kama huna wazazi ambao ni well off, halafu akapata nafasi ya kwenda nje kutafuta, halafu akatumia anachokipata kwa magari ya kukodi, gamble na maisha ya Rick Ross, huyu binafsi namuweka kundi moja na mbweha pori
 
Back
Top Bottom