Nimechoka maisha ya ughaibuni

Nimechoka maisha ya ughaibuni

Huku bongo kibarua wa kiwandani analipwa elfu 4-8.
Danganywa na watu waliojaribu kuondoka nchini wakashindwa sababu hawana qualification zinazohitajika kwenda nchi za watu. Wanataka urudi mpauke kwa pamoja.

Danganywa na watoto wa walamba asali uje uungue jua bongo!

Eti nyumba nyumba! mna nyumba ninyi wabongo au mna vibanda? labda 20% ya wabongo ndio wana nyumba.
 
b
Huku bongo kibarua wa kiwandani analipwa elfu 4-8.
Danganywa na watu waliojaribu kuondoka nchini wakashindwa sababu hawana qualification zinazohitajika kwenda nchi za watu. Wanataka urudi mpauke kwa pamoja.

Danganywa na watoto wa walamba asali uje uungue jua bongo!

Eti nyumba nyumba! mna nyumba ninyi wabongo au mna vibanda? labda 20% ya wabongo ndio wana nyumba.
binti wewe unanyumba au kibanda👏
 
Yani kuna watu hata hio nafasi ya kuja ulaya wanaitamani mkuu[emoji23] asikudanganye mtu bongo kugumu mpaka basi..
Yani kama itokee wamese ndege izi 3 zinatupeleka ulaya kwa yoyote anaetaka ila kazi ni kuwa waokota takataka nakuhakikishia mi ntakua siti namba 1 Hakya Mungu.
kuliko kupauka Bongo heri upauke ulaya... hata ukirudi huna mia potelea pote ...ntafikia mvomero uko kama Dar naona aibu
kwanza sioni aibu ikibidi unapotelea hukohuko sio mbaya
 
Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu

Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
Karibu O block chi town tumuenzi Odee!!!Jiunge na piru gangs ufurahie maisha hapo Harlem!!!😎😎
 
Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu

Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
Hilo jina lako tu linaakisi ulivyo. Kama umri wako ni 50+ rudi tu bongo.
 
Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna kuwapiga watu mizinga kama huko kwenu

Baada maisha ya new Harlem New York kunishinda nimeamua kuhamia Wisconsin angalau nipunguze Gharama ya maisha kidogo maana maisha yalikuwa sio poa viwanja vya starehe ni gharama sana nataka nipambane kidogo nihamie Kentucky nika hang na waAfrika wenzangu angalau nitaenda kupata miguu ya kuku kama huko uswahilini aisee
Unataka ukapige watu mizinga, mhh
 
Back
Top Bottom